Sasa ndio mnasema!!! Kabla yake je.Umesema vyema. Huyu mama adhibitiwe kidogo. So far ana mema mengi kafanya ila ili la kushurutisha muhimili mwingine sio afya kwa demokrasia
Mkuu . Katiba tulionayo hii ya 1977 ni mbaya kabisa. Katiba Imemfanya Rais kuwa mungumutu , ambaye huwezi kuhoji wala kupishana naye mawazo.Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Ndugai kakosa hekima na kutanguliza makasiriko mbele na hofu pia.. Kasemwa kidogo kajiuzulu ANGEKOMAA[emoji23]Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Achilia mbali waziri wa mambo ya ndani ambaye ni political figure. Jiwe alimpiga chini mkuu wa TISS nchini bwana Kipilimba.Hii nchi hata waziri wa mambo ya ndani mwenye siri zote za kivita aliwahi pigwa chini na maisha yalisonga.
Sembuse job.
Ni Corona nyie matagaMungu tulipie kisasi wote wavurugane watiane hasira, si unajua mtu akiwaga na hasira anaropoka? Na anachoongea kwa wakati huo ndo ukweli, watueleze ilikuwaje siku ile. Am enjoying the movie.
Ndugai kakosa hekima na kutanguliza makasiriko mbele na hofu pia.. Kasemwa kidogo kajiuzulu ANGEKOMAA[emoji23]
Hahahahahah mi nataka waropoke kuwa amiri jeshi wetu JPM walimfanyaje hadi ku RIP maana najua upande mmoja unaujua ukweli😅Mungu tulipie kisasi wote wavurugane watiane hasira, si unajua mtu akiwaga na hasira anaropoka? Na anachoongea kwa wakati huo ndo ukweli, watueleze ilikuwaje siku ile. Am enjoying the movie.
Nani mchawi? LolHahahahahah mi nataka waropoke kuwa amiri jeshi wetu JPM walimfanyaje hadi ku RIP maana najua upande mmoja unaujua ukweli😅
Jiwe aliwachagua yeye na hao ulio wataja kawa chagua yeye kwa hiari yakeAchilia mbali waziri wa mambo ya ndani ambaye ni political figure. Jiwe alimpiga chini mkuu wa TISS nchini bwana Kipilimba.
Ngazi utaachia wewe kuelekea futi6 bora ukaushe tu!😅Bi. Tozo anazingua, naye aachie ngazi kama vipi. Hamna lolote analofanya.