Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

Kwa aliyoyasema gwajima jana huyo ndugai wenu mnafiq na fitina tu. Kama suala lililetwa bungeni kwako ukalipitisha then unaenda kwenye media unamponda rais lengo lako nini? Alafu unashupaza shingo kwa sababu ya kukopa kwani huyo mama ndio wa kwanza? Ndugai kafanya mangapi ya kulimaliza bunge kabla hata huyo mama hajawa rais? Mbona mnachuki sana na mama nyie watu.?
Wewe Mzenji, hakuna mwenye chuki na Maza.Maza aache kuingilia mihimili mingine.
 
Mimi naona bunge lilikuwa linafufuka toka wafu kipindi cha magufuri bunge ndo lilikufa likaoza kabisa angalau kipindi hiki lilikuwa linafufuka lakini limepigwa nyundo moja wooote kimyaaaaa woote chaliii
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Bunge alishauwa Ndugai na Magufuli siku nyingi sana
 
Huyo ndugai angejaribu kufanya alichofanya kipindi cha magufuli huenda saivi angeshakutana na yesu. Mama ni mstarabu sana
Yesu yupi? Nundu gay akutane na Yesu? Labda akiomba toba kwa kujisugua kwenye majivu kama Modekai
 
Yesu yupi? Nundu gay akutane na Yesu? Labda akiomba toba kwa kujisugua kwenye majivu kama Modekai
Mkuu alituambia yesu alioa huenda ana details nyingi sana kuhusu yesu
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Punguza ujinga, aliyeuwa mhimili wa bunge ni shetani mwendakuzimu, acheni kumsingizia mama.
 
ng'ombe zinashangilia muhimili wa bunge kunajisiwa na executive.
MACHACHE KUHUSU JOB NDUGAI
1. Hakuwa Spika Mtenda Haki.
2. Aliua Ofisi ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
3. Alifukuza Wabunge wa Upinzani Bungeni kadiri alivyotaka.
4. Alimuita Mbunge aliyejiuzulu Ubunge (Cecil Mwambe) aendelee kukaa bungeni.
5. Aliwaruhusu waendelee kukaa bungeni Wabunge wawili waliofukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya Chadema (Lijualikali na David Silinde)
6. Aligoma kuidhinisha fedha za matibabu ya Tundu Lissu
7. Alimfuta Ubunge Tundu Lissu
8. Aliruhusu Watu 19 wasio na vyama kuwapo Bungeni(akina Mdee)
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Mama anatakiwa apige mzigo mpk 2040...
 
Uzi wako una mashiko.. Ila mimi Shetani Ndugai kufurushwa nimefurahi sana... Ndugai ni zaidi ya ibilisi
Tukutane sehemu jioni tupate Wisky mkuu.

Jumapili hii nakwenda kutowa sadaka ya shukrani kwa Mungu kama nilivyofanya kwa shetani mwendakuzimu.

Na huyu mwaka huu hatoboi kwa stress hizi na magonjwa aliyonayo naye ataitwa Mwendazake. Tunza comment hii for reference.

Leo ni siku ya furaha kwa Taifa la Tanzania, mashetani wote wanapukutika one after another.
 
Kwa nini haya yanatokea sasa hivi?nini chanzo Cha udhaifi huu wa bunge letu?je Kuna ulazima wa spika kuwa mwanachama wa chama Cha siasa?tukianzia hapo tutapata suluhisho la kudumu.kulalamika bila kuchukua hatia hakutatusaidia.maana wenye nchi ni wananchi.kwa heri ndugai usimtendee mwenzio usiyo penda kutendewa.
 
Mimi naona bunge lilikuwa linafufuka toka wafu kipindi cha magufuri bunge ndo lilikufa likaoza kabisa angalau kipindi hiki lilikuwa linafufuka lakini limepigwa nyundo moja wooote kimyaaaaa woote chaliii
Ni lini bunge lilifufuka? hizo pumba zake Ndugai aliongea bungeni au vichochoroni?
 
Na huyu mwaka huu hatoboi kwa stress hizi na magonjwa aliyonayo naye ataitwa Mwendazake. Tunza comment hii for reference.
Jana Space ya Maria Lema kamchana live ibilisi kuwa " Asipotubu mwaka huu anaondoka kwa baba"
 
Kwa nini haya yanatokea sasa hivi?nini chanzo Cha udhaifi huu wa bunge letu?je Kuna ulazima wa spika kuwa mwanachama wa chama Cha siasa?tukianzia hapo tutapata suluhisho la kudumu.kulalamika bila kuchukua hatia hakutatusaidia.maana wenye nchi ni wananchi.kwa heri ndugai usimtendee mwenzio usiyo penda kutendewa.
Jibu ni rahisi tu, suluhisho la haya yote ni katiba mpya.

Unayoyaona ni matakwa ya katiba ya mwaka 1977 ambayo ni katiba ya chama kimoja.
 
Mama ndio alimtuma kuropoka?ndugai amejinyonga kwa kamba yake mwenyewe tusimsingizie mama.
 
Back
Top Bottom