Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Mbona mnafosi ni corona 😅 wataropoka kweli soon tu! Yale mabadiliko ya jiwe kutoka kuwa hendisamu mpaka babu ghafla kuna jambo hatulifahamu inabidi tufahamishweNi Corona nyie mataga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnafosi ni corona 😅 wataropoka kweli soon tu! Yale mabadiliko ya jiwe kutoka kuwa hendisamu mpaka babu ghafla kuna jambo hatulifahamu inabidi tufahamishweNi Corona nyie mataga
Shiriki michakato ya kidemokrasia, acheni kususa susa hapo mtaweza kuleta effect ya hiki unachokihofia.Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Mbaya kwenu ila kwake na beneficiaries wake wapo radhi hata kukuangamiza hawawezi kuruhusu ibadilishwe kizembe😅Mkuu . Katiba tulionayo hii ya 1977 ni mbaya kabisa. Katiba Imemfanya Rais kuwa mungumutu , ambaye huwezi kuhoji wala kupishana naye mawazo.
Hoja ya Ndugai ilikuwa na mashiko ukilinganisha na msimamo wa mama. Lakini Tanzania hii , Rais ni mungumutu huwezi kuhoji hatua zake. KATIBA MBAYA
Acha porojo za kijinga,,hata huko us Bunge linasaidia chama na Serikali, wapinzani wanakosoa chama na Serikali sio kuishambulia na kuikwamisha serikali yao.Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Ukitaka mtu akwambie ukweli wewe usisubiri alewe wewe mvuruge akili uone, kama ni wanandoa utasikia, hata huyo mtoto sio wako😂Hahahahahah mi nataka waropoke kuwa amiri jeshi wetu JPM walimfanyaje hadi ku RIP maana najua upande mmoja unaujua ukweli😅
Hahahahahah unam frastruate tu kidogo anaropoka 😅Ukitaka mtu akwambie ukweli wewe usisubiri alewe wewe mvuruge akili uone, kama ni wanandoa utasikia, hata huyo mtoto sio wako😂
Ni Corona nyie mataga
Mimi staki kuiongelea sana katiba kwa sababu Africa hakuna kufata katiba hata iwe nzuri ni kazi bure.Mkuu . Katiba tulionayo hii ya 1977 ni mbaya kabisa. Katiba Imemfanya Rais kuwa mungumutu , ambaye huwezi kuhoji wala kupishana naye mawazo.
Hoja ya Ndugai ilikuwa na mashiko ukilinganisha na msimamo wa mama. Lakini Tanzania hii , Rais ni mungumutu huwezi kuhoji hatua zake. KATIBA MBAYA
Kha!kha!. Kwamba vita ya pazi furaha kwa kunguru au siyo?.Mungu tulipie kisasi wote wavurugane watiane hasira, si unajua mtu akiwaga na hasira anaropoka? Na anachoongea kwa wakati huo ndo ukweli, watueleze ilikuwaje siku ile. Am enjoying the movie.
Kujiudhuru sio shida, shida ni kuomba msamaha,hapo Ndio alibugi.Ndugai kakosa hekima na kutanguliza makasiriko mbele na hofu pia.. Kasemwa kidogo kajiuzulu ANGEKOMAA[emoji23]
Duuuu bora umeona halafu hii nchi ina wanafiki balaa .hivi Gwajima yule Gwajima anavyoitisha hizo mic ni mapenzi ya nchi ama unafiki mtupuHahahah!!!!angeazia wap???chawa kila kona wanatoa matamko kutetea ugali wao
Waziri wa mambo ya ndani ana siri za kivita toka lini?Hii nchi hata waziri wa mambo ya ndani mwenye siri zote za kivita aliwahi pigwa chini na maisha yalisonga.
Sembuse job.
Kakifungu kale ka kipuuzi sana. Kenyewe kapo kukupa tu shavu umelala zako home huna kazi kanakuita njoo ujikalie kiti cha ufalme ni chako, uamini kinachotokea ka kifungu kanakwambia njo ule bata mpaka utachoka.Kha!kha!. Kwamba vita ya pazi furaha kwa kunguru au siyo?.
Na huu sio mwisho ni mwanzo tuu watamsagia kunguni kama woteKujiudhuru sio shida, shida ni kuomba msamaha,hapo Ndio alibugi.
Ndugai kakosa hekima na kutanguliza makasiriko mbele na hofu pia.. Kasemwa kidogo kajiuzulu ANGEKOMAA[emoji23]
Huyu bibi hafai kuwa kiongozi hata kidogoHaya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Unacho kijua wewe sicho anacho kijua rais kuhusu ndugai, na unatakiwa kujua shinikizo la kuachia ngaz halijatoka kwa mama bali limechagizwa na wabunge wenzake sasa kama unao waongoza wanakutaka uachie ngazi hilo ni tatizoHaya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Ndugai alikuwa zaidi ya shetani kabisaNa huu sio mwisho ni mwanzo tuu watamsagia kunguni kama wote
Dili zake bungeni zitafunuliwa
Tenda zote za bunge alizojimilikisha
Miradi yake yote nje ya bunge
Matumizi mabaya ya madaraka
Kila kitu kitawekwa wazi
Madikteta yanazidi kuishaHahahahahah mi nataka waropoke kuwa amiri jeshi wetu JPM walimfanyaje hadi ku RIP maana najua upande mmoja unaujua ukweli😅