Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Shiriki michakato ya kidemokrasia, acheni kususa susa hapo mtaweza kuleta effect ya hiki unachokihofia.

Hatuna viongozi sasa bali majambazi ndani ya dola
 
Mkuu . Katiba tulionayo hii ya 1977 ni mbaya kabisa. Katiba Imemfanya Rais kuwa mungumutu , ambaye huwezi kuhoji wala kupishana naye mawazo.

Hoja ya Ndugai ilikuwa na mashiko ukilinganisha na msimamo wa mama. Lakini Tanzania hii , Rais ni mungumutu huwezi kuhoji hatua zake. KATIBA MBAYA
Mbaya kwenu ila kwake na beneficiaries wake wapo radhi hata kukuangamiza hawawezi kuruhusu ibadilishwe kizembe😅
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Acha porojo za kijinga,,hata huko us Bunge linasaidia chama na Serikali, wapinzani wanakosoa chama na Serikali sio kuishambulia na kuikwamisha serikali yao.

Vinginevyo kungekuwa hakuna haja ya kutafuta wingi Bungeni,,kama hukubali unakaa pembeni kana Ndugai.
 
Unafiki kitu kibaya Sana.
Leo ndo mnaona mwenyekiti wa ccm ndo yupo juu ya mihimili mingine.
Lini hyo mihimili 3 ilikuwa sawa!?
mwenyekiti wa ccm,anamteua jaji mkuu,anamteua mwenyekiti wa NEC,anamteua spika wa bunge,anamteua CDF,anamteua IGP,anamteua mkuu wa uhamiaji ,anamteua mkuu wa magereza n.k
Mbona kipindi Cha MAGUFULI ndo ndugai alinyanyasa Sana wapinzani mpaka kuwatoa nje leo mmesahau?
Alimfuta lisu ubunge na mengine mengi
Leo mnamuona wa maana.
Mleta mada acha UNAFIKI
 
Mkuu . Katiba tulionayo hii ya 1977 ni mbaya kabisa. Katiba Imemfanya Rais kuwa mungumutu , ambaye huwezi kuhoji wala kupishana naye mawazo.

Hoja ya Ndugai ilikuwa na mashiko ukilinganisha na msimamo wa mama. Lakini Tanzania hii , Rais ni mungumutu huwezi kuhoji hatua zake. KATIBA MBAYA
Mimi staki kuiongelea sana katiba kwa sababu Africa hakuna kufata katiba hata iwe nzuri ni kazi bure.

Ila ikitokea kale ka katiba kakabadilishwa nitafunga siku 40 kale ka kifungu kalikotuletea majanga mwezi wa tatu 2020 kaondolewe kabisa.yaani ni kama mtu kulala maskini ukaamuka tajili kisa kakifungu kamoja tu? Kwa mara ya kwanza hako ka kifungu aliniumiza.😂😂
 
Mungu tulipie kisasi wote wavurugane watiane hasira, si unajua mtu akiwaga na hasira anaropoka? Na anachoongea kwa wakati huo ndo ukweli, watueleze ilikuwaje siku ile. Am enjoying the movie.
Kha!kha!. Kwamba vita ya pazi furaha kwa kunguru au siyo?.
 
Hahahah!!!!angeazia wap???chawa kila kona wanatoa matamko kutetea ugali wao
Duuuu bora umeona halafu hii nchi ina wanafiki balaa .hivi Gwajima yule Gwajima anavyoitisha hizo mic ni mapenzi ya nchi ama unafiki mtupu
 
Kha!kha!. Kwamba vita ya pazi furaha kwa kunguru au siyo?.
Kakifungu kale ka kipuuzi sana. Kenyewe kapo kukupa tu shavu umelala zako home huna kazi kanakuita njoo ujikalie kiti cha ufalme ni chako, uamini kinachotokea ka kifungu kanakwambia njo ule bata mpaka utachoka.

Embu nambie ka kifungu hako hako ikitokea la kutokea ya mungu mengi, yaani katatuchapa kiboko kisichoumiza unalia tutoka dar mpaka kigoma mwisho wa reli.
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Huyu bibi hafai kuwa kiongozi hata kidogo
 
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.

Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.

Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun

Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.

Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Unacho kijua wewe sicho anacho kijua rais kuhusu ndugai, na unatakiwa kujua shinikizo la kuachia ngaz halijatoka kwa mama bali limechagizwa na wabunge wenzake sasa kama unao waongoza wanakutaka uachie ngazi hilo ni tatizo
 
Back
Top Bottom