Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Tayari umeshajipa jibu kabla ya swali. Mqmbo kama hayo hutokaa uyasikie.Hahahahahah mi nataka waropoke kuwa amiri jeshi wetu JPM walimfanyaje hadi ku RIP maana najua upande mmoja unaujua ukweli[emoji28]
The power was getting into his headChezea kitu kingine sio ndugaiView attachment 2071811
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu tulipie kisasi wote wavurugane watiane hasira, si unajua mtu akiwaga na hasira anaropoka? Na anachoongea kwa wakati huo ndo ukweli, watueleze ilikuwaje siku ile. Am enjoying the movie.
Achaaa:Kama madai yako yana hata chembe ya ukweli basi angalau ungesema labda mama anamalizia yaliaoanzishwa na mwengine.
Kidogo tungetafakari,
Lakini kusema straight kwamba mama ni hivi naona kama ni kumuonea tu
Coz hayo angefanya yeyote yule awaye
Kwa kuwa yale maneno yenyewe yalikuwa ni vita tosha,
Kuhusu kupigana wenyewe kwa wenyewe Tanzania sahau,
Labda walioonja asali watake kuchonga mzinga
Yule aliepita alikua haingilii? Mbona hukuandika humu kipindi kile[emoji15][emoji15]Wewe Mzenji, hakuna mwenye chuki na Maza.Maza aache kuingilia mihimili mingine.
1: Ndugai katika kikao ambacho hakihusiani na bunge aliilaumu serikali iliyopo madarakani kwa kukopaHaya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWA.
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhimili wa Bunge! Pamoja na kuwa Ndugai alikuwa shetani, nunda mla watu.
Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWA.
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhimili wa Bunge! Pamoja na kuwa Ndugai alikuwa shetani, nunda mla watu.
Sielewi namna gani kujiuzulu wa spika kunamaanisha "mhimili wa bunge" umeharibika. Spika alilaumu hatua (=kupokea mkopo ) iliyokubaliwa na mhimili wake yaani ilipita katika kamati ya bunge yake. Je alipinga bungeni? Sasa serikali ilifuata azimio la kamati husika ya bunge na spika anapiga kelele.Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWA.
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhimili wa Bunge! Pamoja na kuwa Ndugai alikuwa shetani, nunda mla watu.
Yeye sio Mungu,ana mwisho wake,Sisi tutamlilia MUNGU sio yeye.Mungu atatusaidia hawezi kutuacha.
Hoja yako hii ulitakiwa ulete awamu iliyopita sio Sasa,kwa kuwa yanayotokea Sasa chimbuko ni awamu iliyopitaNdugai alikuwa wa kuungwa mkono!
Kama tulikuwa tunalaumu kwamba bunge ni kibaraka wa selikali iweje basi Ndugai alipojaribu kuchomoza makucha tuone anakosea!
Wengi wenu mnashangilia hili mkifikri aliekomolewa ni Ndugai,. Kwani Ndugai atapoteza nini akikosa hiyo nafasi kwa miaka 4 hii?
Hapa bunge ndio limeshambuliwa.
Wajinga hawawezi kuelewa ila baadae sana ndio watakuja kuelewa.
Awamu iliyopita alikua wapi,kw Nini Sasa,sio wakati ule? Tukisema mnamchukia mama kw sababu ya uzanzibari wake mtakataa,Ila ndiyo ukweliPamoja na udhaifu wake ila alichojaribu kukionyesha ndugai alipaswa kuungwa mkono kwani aliokuwa anatekeleza wajibu wake kama spika kuisimamia serikali. Sema amekumbuka shuka kumekucha na wabunge waliopo hawa akina kigwa akina kibajaji na type zoote ni watu njaa
Yeye anasema imetengenezwa lakini ogopa teknolojia. Wanasema mfa maji haishi kutapata. Na ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Ndugai anasema ile clip ilikuwa ya kutengenezwa ba wanahabari ili apate huruma lakini amechelewa maji yamefika shungoni.
Ile clip sio ya kutengenezwa. Kabla ya ile clip ndugai alishaanza kuwa mwimba ndani ya hii serikali.
Katikati ya mwezi Disemba mwaka ulioisha Ndugai alisikika akisema anakereka UMEME na MAJI kukatika katika hovyo. Lile lilikuwa tusi kwa serikali ya Samia.
Pamoja na mapungufu makubwa ya mzee ndugai sijapenda alichofanyiwa yeye, bunge na katiba kwa ujumla
Hoja ya spika itetewe kwa kudai katiba mpya itayopunguza mamlaka ya rais yanayosababisha anajisi mihimili mingine.Si ndio utetezi huo tunaoutaka.
Itetewe hoja ya Spika.
Mimi nimemuelewa sana Lissu..
Pamoja na yote lakini bado ametetea hoja,hana ushabiki maandazi kama nyumbu pori wengi.
roho nzuri na mbaya zote ni roho.Acha roho mbaya[emoji2960]
Hili jambo ndio lilinishangaza sana!Achilia mbali waziri wa mambo ya ndani ambaye ni political figure. Jiwe alimpiga chini mkuu wa TISS nchini bwana Kipilimba.
Umesahau alivyomuita PR ASSAD kibabe babe.kwani aliye lifanya bunge Liwe kamati ya cam.ni ndugai umesahau ile kauli yake akitaka asitake tutamuongezea muda
Hii comment
Hii comment ni bora sana kwa uzi huu.
Shida yetu watanzania tunasahau mapema mno.
Yaani hata kule kujipendekeza kwa Ndugai kwa Mhimili uliojichimbia chini enzi za Mwendazake tumesahau
Mnasahau Ndugai alimvua ubunge Tundu Lissu ili tu kumfurahisha Jiwe,
Aise aliyeturoga keshakufa.
Wewe acha kushabikia uozo kumbuka trump na yule mama spika wa senate? Yule mama alichanachana document ya Trump mbele ya Trump.Acha porojo za kijinga,,hata huko us Bunge linasaidia chama na Serikali, wapinzani wanakosoa chama na Serikali sio kuishambulia na kuikwamisha serikali yao.
Vinginevyo kungekuwa hakuna haja ya kutafuta wingi Bungeni,,kama hukubali unakaa pembeni kana Ndugai.