Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wewe Mzenji, hakuna mwenye chuki na Maza.Maza aache kuingilia mihimili mingine.Kwa aliyoyasema gwajima jana huyo ndugai wenu mnafiq na fitina tu. Kama suala lililetwa bungeni kwako ukalipitisha then unaenda kwenye media unamponda rais lengo lako nini? Alafu unashupaza shingo kwa sababu ya kukopa kwani huyo mama ndio wa kwanza? Ndugai kafanya mangapi ya kulimaliza bunge kabla hata huyo mama hajawa rais? Mbona mnachuki sana na mama nyie watu.?
Bunge alishauwa Ndugai na Magufuli siku nyingi sanaHaya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Yesu yupi? Nundu gay akutane na Yesu? Labda akiomba toba kwa kujisugua kwenye majivu kama ModekaiHuyo ndugai angejaribu kufanya alichofanya kipindi cha magufuli huenda saivi angeshakutana na yesu. Mama ni mstarabu sana
Mkuu alituambia yesu alioa huenda ana details nyingi sana kuhusu yesuYesu yupi? Nundu gay akutane na Yesu? Labda akiomba toba kwa kujisugua kwenye majivu kama Modekai
Mzee alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu tu.Mbona mnafosi ni corona 😅 wataropoka kweli soon tu! Yale mabadiliko ya jiwe kutoka kuwa hendisamu mpaka babu ghafla kuna jambo hatulifahamu inabidi tufahamishwe
Punguza ujinga, aliyeuwa mhimili wa bunge ni shetani mwendakuzimu, acheni kumsingizia mama.Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
MACHACHE KUHUSU JOB NDUGAIng'ombe zinashangilia muhimili wa bunge kunajisiwa na executive.
Mama anatakiwa apige mzigo mpk 2040...Haya yote yanayotokea na kushangiliwa hayana lolote katika ustawi wa Taifa hili.
Tunakwenda kuangamia. Jana/Juzi kitendo cha kumkemea Ndugai hadharani akajiuzulu, maana yake Bunge limesalimu amri kwa Executive. Kinachofuata ni kumalizia Mahakama maana alishaianza kuiua.
Matokeao yake unaweza usiyaone leo, lakini inaweza kuleta hata vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya kuwepo makundi ya KUONEA na KUONEWKun
Kuna makundi yatakataa kuonewa na yataungwa mkono na mataifa yanayo-advocate HAKI.
Tumkemee mtawala huyu! Tupaze sauti kuua Muhumili wa Bunge! pamoja na kuwa Ndugai alkuwa shetani, nunda mla watu.
Tukutane sehemu jioni tupate Wisky mkuu.Uzi wako una mashiko.. Ila mimi Shetani Ndugai kufurushwa nimefurahi sana... Ndugai ni zaidi ya ibilisi
Ni lini bunge lilifufuka? hizo pumba zake Ndugai aliongea bungeni au vichochoroni?Mimi naona bunge lilikuwa linafufuka toka wafu kipindi cha magufuri bunge ndo lilikufa likaoza kabisa angalau kipindi hiki lilikuwa linafufuka lakini limepigwa nyundo moja wooote kimyaaaaa woote chaliii
Jana Space ya Maria Lema kamchana live ibilisi kuwa " Asipotubu mwaka huu anaondoka kwa baba"Na huyu mwaka huu hatoboi kwa stress hizi na magonjwa aliyonayo naye ataitwa Mwendazake. Tunza comment hii for reference.
Jibu ni rahisi tu, suluhisho la haya yote ni katiba mpya.Kwa nini haya yanatokea sasa hivi?nini chanzo Cha udhaifi huu wa bunge letu?je Kuna ulazima wa spika kuwa mwanachama wa chama Cha siasa?tukianzia hapo tutapata suluhisho la kudumu.kulalamika bila kuchukua hatia hakutatusaidia.maana wenye nchi ni wananchi.kwa heri ndugai usimtendee mwenzio usiyo penda kutendewa.