Rais Samia amewakosea sana watu wa Kizimkazi; awaombe radhi

Stori nimeishia hapa; eti "tutabaki hivi hivi hadi Allah atakaporudi"

Kafiri ni kafiri. Hata kujificha vp tajulikana tu.

Siwezi kuendelea na story hii na ni kupotezeana musa tu.

Wewe ni mchaga period
 
Subirini kuna mradi mkubwa wa bar ya nyota tano, kitimoto mtauziwa kwa bei ya muungano
 
Subirini kuna mradi mkubwa wa bar ya nyota tano, kitimoto mtauziwa kwa bei ya muungano
Astafaghallah! Nyie majitu wa bara ndio mnakula hawo wadudu ndio maana mmekuwa na roho mbaya za kudhulumu rasilimali za wazanzibar bila huruma.
 
Je, watanganyika hawana haki ya kumiliki ardhi Zanzibar?

Tatizo la Wazanzibari mmejawa na choyo, ghilba, ubinafsi na tamaa.
Ardhi ya Zanzibar imemezwa na maji mnataka hata hii kidogo iliyobaki mje jitwalia yakhe? Hamna khaya?

Mapori yote yasiyolimwa huko Tanganyika hamyaoni? Nyie wehu nini?
 
Kwani wazanz7bar hawana haki ya kufaida rasilimali za taifa. Tatizo matanganyika mna roho mbaya sana. Kila kitu mnataka mfaidi nyie tu. Mna matatizo makubwa sana.
Sasa si mkafanye huko Zanzibar. Mbona mbalalamika wakatina Rais, Katiba yenu, wimbi wenu wa Taifa na nchi yenu isiyitambukika nje ya mikaoa mnayo. Kama hamna wanyama fugeni hata panya na paka muwaweke kwenye Zoo.
 
Tulia bado ana miaka mi5 mbele Zanzibar lazima iwe kama Brunei.
 
Tulia bado ana miaka mi5 mbele Zanzibar lazima iwe kama Brunei.
Hamna taabu. Sisi Watanganyika ni bad zenu. Hatuna wivu na maendeleo ya wajukuu zetu. Ndo maana miaka yote 60 tunawabeba na kuwatunza matunzo yote yampasayo mke mdogo.
 
Acha ubaguzi wako wa kijinga mkuu. Kwani wazanzibar hawana haki ya kufaidi rasilimali za taifa?
Rasilimali wanazotakiwa kufaidi wazanzibar ni zile zinazotokana na wazanzibar wenyewe na siyo za Tanganyika kama ni ubaguzi na roho mbaya walionyesha wazanzibar wenyewe lilipokuja suala la mafuta waliposema mafuta ni ya wazanzibar wenyewe,watanganyika hawana chao kwenye mafuta ya Zanzibar watakuwa kama wateja wa kwenda kununua mafuta Zanzibar.

Kwanza Samia anatukosea sana wa Tanganyika tungekuwa tunaweza alikuwa ni wakufukuzwa kwa mawe,wamasai mpaka sasa hivi wanateseka na kuitwa raia wa Kenya kwa sababu ya Samia,ndege za walizonunua wa Tanganyika kawapa wazanzibar,kati ya meli 8 zinazoundwa 4 za wazanzibar 4 za wa Tanganyika malipo kwa wa Tanganyika.

Ni heri ya Magufuli japokuwa naye alikuwa ni jangiri wa kupendelea nyumbani kwake Chato lakini Chato ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika kuliko Samia anayetumia raslimari za Tanganyika kupeleka nchi jirani kwa kisingizio cha muungano kiini macho.
 
Stori nimeishia hapa; eti "tutabaki hivi hivi hadi Allah atakaporudi"

Kafiri ni kafiri. Hata kujificha vp tajulikana tu.

Siwezi kuendelea na story hii na ni kupotezeana musa tu.

Wewe ni mchaga period
Rejea kwenye hoja, acha kuleta vihoja yakhe!
 
Kwani muungano umevunjika hadi wazanzibar wasiruhusiwe kumiliki na kutumia rasilimalii za Tanganyika? Unajua nyie watanganyika kinachowaponza na kitakachowaumiza ni roho ya chuki na ubaguzi. Mbona nyie mnatumia bahari ya Zanzibar bure? Punguza chuki mkuu.
 
Kwani muungano umevunjika hadi wazanzibar wasiruhusiwe kumiliki na kutumia rasilimalii za Tanganyika?
Mbona Watanganyika hawatumii raslimali yoyote ya Zanzibar na husemi, hulalamiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…