Rais Samia amewakosea sana watu wa Kizimkazi; awaombe radhi

Rais Samia amewakosea sana watu wa Kizimkazi; awaombe radhi

Hilo mnaliona kwa waZanzibar tu lakini watanganyika wakifanya ni halali? Mbona hamkusema kipindi cha Magufuli? Halafu hawo wananchi wanaopelekewa maendeleo kwani wao sio sehemu ya watanzania? Kunya anye kuku tu, akinya bata ameharisha? Yakhe huna khaya? Ama kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Alifanyia tanganyika. 😀😀
 
Je, watanganyika hawana haki ya kumiliki ardhi Zanzibar?

Tatizo la Wazanzibari mmejawa na choyo, ghilba, ubinafsi na tamaa.

swala la ardhi ni swala la kisheria, na hizo sheria zilitengenezwa na watananganyika sasa kwanini uwalaumu wazanzibari?
 
lakini nyinyi si ndio munalalamika anaipendelea Zanzibar, labda mungetuainishia hapa icho anachopendelea
Mbona nilichokiandika hapo hakina uhusiano na unachoniuliza au ume quote wrong comment?
 
Hilo mnaliona kwa waZanzibar tu lakini watanganyika wakifanya ni halali? Mbona hamkusema kipindi cha Magufuli? Halafu hawo wananchi wanaopelekewa maendeleo kwani wao sio sehemu ya watanzania? Kunya anye kuku tu, akinya bata ameharisha? Yakhe huna khaya? Ama kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.

Mapato gani wakati bahari nyeti mmejimilikisha mnavua tu jinsi manavyotaka?
Bahari ni mali ya Watanganyika. Punguzeni tamaa, ridhikeni na visiwa vyenu na karafuu.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kabla sijaenda mbali naomba ku declare interest kwamba mm ni mtu mwenye asili ya Pemba. Nimesikitishwa sana na aina ya uwekezaji ambao mama Samia ameufanya hapa Kizimkazi. Inasikitisha sana.

Tangu Zanzibar iungane na Tanganyika, waZanzibar hawajawahi kuenjoy rasilimali za Tanzania ndewe wala sikio. Kila siku matanganyiko ndio yanafaidi rasilimali za nchi. Nilitegemea baada ya mzanzibar kupokea kijiti cha urais, Zanzibar ingepata afueni lakini kila kukicha inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umasikini.

Rais Magufuli aliposhika usukani wa nchi alipeleka nyumbani kwao Chato maendeleo makubwa sana. Alijenga International Airport,,barabara na madaraja makubwa. Pia alisogeza huduma kwa wananchi kwa kuwajengea benki, chuo cha VETA na hospitali ya rufaa. Kana kwamba haya hayatoshi, Magufuli alianzisha mbuga ya wanyama Chato na kujenga ikulu ndogo. Haya ni baadhi ya mambo machache ninayoweza kuyakumbuka ambayo Magufuli aliwafanyia wananchi wake.

Sasa tukirejea kwa Rais Samia alichowafanyia wanaKizimkazi ni kichekesho na kituko cha mwaka. Eti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! What kind of nonsense is this? Ndio maana nasema Wazanzibar hawaji kuendelea kamwe hata wakimpata Rais wa dunia. Mama Samia anashindwaje kuiga kwa mtangulizi wake anakuja kuwaletea wanaKizimkazi miradi uchwara ambayo hailingani hata kwa asilimia moja na miradi ambayo Magufuli aliwapelekea wanaChato?

Wazanzibar wataendelea kubaki hivi hivi hadi kiyama. Kila mtu mwenye nia njema alipoona mzanzibar kaingia ikulu alisema hewallah Mola atupe nini! Matokeo yake mzanzibar kabisa tena anayetarajiwa kuwanyanyua wazanzibar wenzake anawafanyia dhihaka. Yakhe unyonge huu hadi lini?

Wakati anahangaika kuwahamisha wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomela tulidhani labda angewaacha wakae huko huko lakini ahamishe wanyama awalete Kizimkazi aanzishe mbuga ya Kizimkazi lakini ameamua kukomaa na wamasai na kuwaacha wanyama. Zanzibar hawana hata mbuga moja ya wanyama.

Rais Samia anashindwa nini kumzuia Rais mwinyi asiuze visiwa vyote walau aache kisiwa kimoja tukibadilishe kuwa mbuga ya wanyama? Mbuga zote zipo Tanganyika, sisi hatunayo hata moja. Kama Magufuli aliweza kuhamisha wanyama akaanzisha mbuga yeye anashindwaje?

Kusema kweli Rais Samia anapaswa awaombe radhi wazanzibar kwa hii dharau aliyowafanyia kuwapelekea miradi uchwara huku akiwaacha watanganyiia wakijipendelea kwa miradi mikubwa mikubwa. Inauma na inasikitisha sana.
Andiko limejaa ubinfsi sasa ,Zanzibar si mpo na Rais wenu
 
tpaul hivi Pemba siyo sehemu ya Zanzibar? Mbona Samia huwa haendi huko wala kufanya uwekezaji huko?

Nashauri., Samia amuige Magufuli kwa kuwajengea wananchi wa nchi ya Zanzibar daraja la kuunganisha Pemba na Unguja ili kurahisisha usafiri baina ya hivi visiwa.

Imewezekana daraja la Kigongo - Busisi na huko nchi ya Zanzibar inawezekana kujenga daraja baina ya Unguja na Pemba

Mbwa wapumbavu oyeee🤣🤣🤣

Mkuu PEMBA CCM ilishafukuzwa
 
Bahari ipi ni mali ya watanganyika?
Bahari ya Hindi pale nyuma ya ikulu ya Magogoni kuanzia Mahandakini (mpakani na Kenya)-Jasini-Moa hadi maingilio ya mto Ruvuma Baharini kule Mtwara mapakani ya Msumbiji kuelekea Bahari kuu hadi mpaka wa Kimataifa ndani ya Bahari kuu kuelekea Ushelisheli na Comoro. Niongezee???
 
Bahari ni mali ya Watanganyika. Punguzeni tamaa, ridhikeni na visiwa vyenu na karafuu.
Bahari ni mali ya bara tangu lini nyie wazurumishi? Nyie makafir mnapenda sana dhulma. Inshallah Allah atawalipa kadri ya matendo yenu maovu.
 
Huyu muimba taarabu anazidi kutukosea sana watanganyika Kwa kuchota pesa zetu tunazokamuliwa Kodi Kila siku na kujenga miradi ya kihuni ya sport academy Kwa manufaa ya Zanzibar ambao hawakatwi Kodi yeyote
WATU NI WAJINGA SANA, SPORT ACADEMY INAJENGWA NA CRDB BANK, BANK IMEONA ILIFANYE HILI VOLUNTARY
Once you join chadema negatives wise start build up"
 
Back
Top Bottom