Rais Samia amewakosea sana watu wa Kizimkazi; awaombe radhi

Rais Samia amewakosea sana watu wa Kizimkazi; awaombe radhi

Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kabla sijaenda mbali naomba ku declare interest kwamba mm ni mtu mwenye asili ya Pemba. Nimesikitishwa sana na aina ya uwekezaji ambao mama Samia ameufanya hapa Kizimkazi. Inasikitisha sana.

Tangu Zanzibar iungane na Tanganyika, waZanzibar hawajawahi kuenjoy rasilimali za Tanzania ndewe wala sikio. Kila siku matanganyiko ndio yanafaidi rasilimali za nchi. Nilitegemea baada ya mzanzibar kupokea kijiti cha urais, Zanzibar ingepata afueni lakini kila kukicha inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umasikini.

Rais Magufuli aliposhika usukani wa nchi alipeleka nyumbani kwao Chato maendeleo makubwa sana. Alijenga International Airport,,barabara na madaraja makubwa. Pia alisogeza huduma kwa wananchi kwa kuwajengea benki, chuo cha VETA na hospitali ya rufaa. Kana kwamba haya hayatoshi, Magufuli alianzisha mbuga ya wanyama Chato na kujenga ikulu ndogo. Haya ni baadhi ya mambo machache ninayoweza kuyakumbuka ambayo Magufuli aliwafanyia wananchi wake.

Sasa tukirejea kwa Rais Samia alichowafanyia wanaKizimkazi ni kichekesho na kituko cha mwaka. Eti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! What kind of nonsense is this? Ndio maana nasema Wazanzibar hawaji kuendelea kamwe hata wakimpata Rais wa dunia. Mama Samia anashindwaje kuiga kwa mtangulizi wake anakuja kuwaletea wanaKizimkazi miradi uchwara ambayo hailingani hata kwa asilimia moja na miradi ambayo Magufuli aliwapelekea wanaChato?

Wazanzibar wataendelea kubaki hivi hivi hadi kiyama. Kila mtu mwenye nia njema alipoona mzanzibar kaingia ikulu alisema hewallah Mola atupe nini! Matokeo yake mzanzibar kabisa tena anayetarajiwa kuwanyanyua wazanzibar wenzake anawafanyia dhihaka. Yakhe unyonge huu hadi lini?

Wakati anahangaika kuwahamisha wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomela tulidhani labda angewaacha wakae huko huko lakini ahamishe wanyama awalete Kizimkazi aanzishe mbuga ya Kizimkazi lakini ameamua kukomaa na wamasai na kuwaacha wanyama. Zanzibar hawana hata mbuga moja ya wanyama.

Rais Samia anashindwa nini kumzuia Rais mwinyi asiuze visiwa vyote walau aache kisiwa kimoja tukibadilishe kuwa mbuga ya wanyama? Mbuga zote zipo Tanganyika, sisi hatunayo hata moja. Kama Magufuli aliweza kuhamisha wanyama akaanzisha mbuga yeye anashindwaje?

Kusema kweli Rais Samia anapaswa awaombe radhi wazanzibar kwa hii dharau aliyowafanyia kuwapelekea miradi uchwara huku akiwaacha watanganyiia wakijipendelea kwa miradi mikubwa mikubwa. Inauma na inasikitisha sana.
Hawezi kuwaridhisha wote
Wapo ambao uwekezaji huo utakuwa na manufaa kwao
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kabla sijaenda mbali naomba ku declare interest kwamba mm ni mtu mwenye asili ya Pemba. Nimesikitishwa sana na aina ya uwekezaji ambao mama Samia ameufanya hapa Kizimkazi. Inasikitisha sana.

Tangu Zanzibar iungane na Tanganyika, waZanzibar hawajawahi kuenjoy rasilimali za Tanzania ndewe wala sikio. Kila siku matanganyiko ndio yanafaidi rasilimali za nchi. Nilitegemea baada ya mzanzibar kupokea kijiti cha urais, Zanzibar ingepata afueni lakini kila kukicha inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umasikini.

Rais Magufuli aliposhika usukani wa nchi alipeleka nyumbani kwao Chato maendeleo makubwa sana. Alijenga International Airport,,barabara na madaraja makubwa. Pia alisogeza huduma kwa wananchi kwa kuwajengea benki, chuo cha VETA na hospitali ya rufaa. Kana kwamba haya hayatoshi, Magufuli alianzisha mbuga ya wanyama Chato na kujenga ikulu ndogo. Haya ni baadhi ya mambo machache ninayoweza kuyakumbuka ambayo Magufuli aliwafanyia wananchi wake.

Sasa tukirejea kwa Rais Samia alichowafanyia wanaKizimkazi ni kichekesho na kituko cha mwaka. Eti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! What kind of nonsense is this? Ndio maana nasema Wazanzibar hawaji kuendelea kamwe hata wakimpata Rais wa dunia. Mama Samia anashindwaje kuiga kwa mtangulizi wake anakuja kuwaletea wanaKizimkazi miradi uchwara ambayo hailingani hata kwa asilimia moja na miradi ambayo Magufuli aliwapelekea wanaChato?

Wazanzibar wataendelea kubaki hivi hivi hadi kiyama. Kila mtu mwenye nia njema alipoona mzanzibar kaingia ikulu alisema hewallah Mola atupe nini! Matokeo yake mzanzibar kabisa tena anayetarajiwa kuwanyanyua wazanzibar wenzake anawafanyia dhihaka. Yakhe unyonge huu hadi lini?

Wakati anahangaika kuwahamisha wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomela tulidhani labda angewaacha wakae huko huko lakini ahamishe wanyama awalete Kizimkazi aanzishe mbuga ya Kizimkazi lakini ameamua kukomaa na wamasai na kuwaacha wanyama. Zanzibar hawana hata mbuga moja ya wanyama.

Rais Samia anashindwa nini kumzuia Rais mwinyi asiuze visiwa vyote walau aache kisiwa kimoja tukibadilishe kuwa mbuga ya wanyama? Mbuga zote zipo Tanganyika, sisi hatunayo hata moja. Kama Magufuli aliweza kuhamisha wanyama akaanzisha mbuga yeye anashindwaje?

Kusema kweli Rais Samia anapaswa awaombe radhi wazanzibar kwa hii dharau aliyowafanyia kuwapelekea miradi uchwara huku akiwaacha watanganyiia wakijipendelea kwa miradi mikubwa mikubwa. Inauma na inasikitisha sana.
Hujielewi wewe
 
Ni bora umesema wewe ni mpemba, maana uliyosema ulipaswa uyaseme kwa Pemba ni siyo Unguja!.

Wewe unadhani maendeleo yanayofanyika kisiwa cha Unguja pesa inayokusanywa na ZRA inatosha?.

Skuli za magorofa kila eneo, masoko ya magorofa kila eneo, barabara za zege hadi mitaa isiyo rasmi, barabara za lami za njia mbili, hospitali za magorofa kika wilaya, viwanja vya mpira hadi shamba, bandari mpya, kiwanja cha ndege kipya, (bado ikulu mpya tu) aya madaraja ya juu (tunayodanganywa ni) frying over.

Hivyo ni kwa uchache tu, bado unataka kuona nini we mpemba tpaul ?
 
Ni bora umesema wewe ni mpemba, maana uliyosema ulipaswa uyaseme kwa Pemba ni siyo Unguja!.

Wewe unadhani maendeleo yanayofanyika kisiwa cha Unguja pesa inayokusanywa na ZRA inatosha?.

Skuli za magorofa kila eneo, masoko ya magorofa kila eneo, barabara za zege hadi mitaa isiyo rasmi, barabara za lami za njia mbili, hospitali za magorofa kika wilaya, viwanja vya mpira hadi shamba, bandari mpya, kiwanja cha ndege kipya, (bado ikulu mpya tu) aya madaraja ya juu (tunayodanganywa ni) frying over.

Hivyo ni kwa uchache tu, bado unataka kuona nini we mpemba tpaul ?
Kwani wapemba hatuhitaji kuendelezwa? Hatulipi kodi? Hizo pesa za ZRA mnazilipa nyie tu waunguja? Kama vipi tugawane mbao kila watu wakae kwenye kisiwa chao. Mmezidi ubaguzi.
 
Yakhe, si mliyataka wenyewe? Kwamba mamlaka ya Rais wa Muungano yanaishia kwenye kile kisiwa kidogo (jina nimelisahau). Wala msimlaumu.
 
Zanzibari ni White Collar Economy
-Maana yake serikali itajenga majengo na kuonesha kuwa uchumi umekuwa lakini kiuhalisia sio mzunguki wa hela uliokuwepo hapo ndio umefanya maendeleo hayo kwahiyo hata uwezo wa raia kupanga hayo majengo utakuwa ni mdogo na biashara hakuna zaidi ya watalii wa msimu. Hakuna tofauti na Ethiopia vijana wake kila siku wanakimbia nchi licha ya kuwa na miradi mikubwa Africa.
Mji kama DSM unaona kabisa unakuwa kutokana na mzunguko wa hela uliokuwepo hivyo ndio uchumi unataka
 
Hilo mnaliona kwa waZanzibar tu lakini watanganyika wakifanya ni halali? Mbona hamkusema kipindi cha Magufuli? Halafu hawo wananchi wanaopelekewa maendeleo kwani wao sio sehemu ya watanzania? Kunya anye kuku tu, akinya bata ameharisha? Yakhe huna khaya? Ama kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Wewe boya kweli, kama unajua wananchi wanaopelekewa maendeleo zanzibar ni sehemu ya Tanzania, kwa nini unahoji kupelekwa maendeleo Chato? Zanzibar mnachangia nini kwenye pato la Taifa kama siyo sifuri na Tanganyika ndo inawatunza kwa kila kitu, hamna tofauti Aboriginals wa Australia.
 
Zanzibari ni White Collar Economy
-Maana yake serikali itajenga majengo na kuonesha kuwa uchumi umekuwa lakini kiuhalisia sio mzunguki wa hela uliokuwepo hapo ndio umefanya maendeleo hayo kwahiyo hata uwezo wa raia kupanga hayo majengo utakuwa ni mdogo na biashara hakuna zaidi ya watalii wa msimu. Hakuna tofauti na Ethiopia vijana wake kila siku wanakimbia nchi licha ya kuwa na miradi mikubwa Africa.
Mji kama DSM unaona kabisa unakuwa kutokana na mzunguko wa hela uliko
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kabla sijaenda mbali naomba ku declare interest kwamba mm ni mtu mwenye asili ya Pemba. Nimesikitishwa sana na aina ya uwekezaji ambao mama Samia ameufanya hapa Kizimkazi. Inasikitisha sana.

Tangu Zanzibar iungane na Tanganyika, waZanzibar hawajawahi kuenjoy rasilimali za Tanzania ndewe wala sikio. Kila siku matanganyiko ndio yanafaidi rasilimali za nchi. Nilitegemea baada ya mzanzibar kupokea kijiti cha urais, Zanzibar ingepata afueni lakini kila kukicha inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umasikini.

Rais Magufuli aliposhika usukani wa nchi alipeleka nyumbani kwao Chato maendeleo makubwa sana. Alijenga International Airport, barabara na madaraja makubwa. Pia alisogeza huduma kwa wananchi kwa kuwajengea benki, chuo cha VETA na hospitali ya rufaa. Kana kwamba haya hayatoshi, Magufuli alianzisha mbuga ya wanyama Chato na kujenga ikulu ndogo. Haya ni baadhi ya mambo machache ninayoweza kuyakumbuka ambayo Magufuli aliwafanyia wananchi wake.

Sasa tukirejea kwa Rais Samia alichowafanyia wanaKizimkazi ni kichekesho na kituko cha mwaka. Eti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! What kind of nonsense is this? Ndio maana nasema Wazanzibar hawaji kuendelea kamwe hata wakimpata Rais wa dunia. Mama Samia anashindwaje kuiga kwa mtangulizi wake anakuja kuwaletea wanaKizimkazi miradi uchwara ambayo hailingani hata kwa asilimia moja na miradi ambayo Magufuli aliwapelekea wanaChato?

Wazanzibar wataendelea kubaki hivi hivi hadi kiyama. Kila mtu mwenye nia njema alipoona mzanzibar kaingia ikulu alisema hewallah Mola atupe nini! Matokeo yake mzanzibar kabisa tena anayetarajiwa kuwanyanyua wazanzibar wenzake anawafanyia dhihaka. Yakhe unyonge huu hadi lini?

Wakati anahangaika kuwahamisha wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomela tulidhani labda angewaacha wakae huko huko lakini ahamishe wanyama awalete Kizimkazi aanzishe mbuga ya Kizimkazi lakini ameamua kukomaa na wamasai na kuwaacha wanyama.

Zanzibar hawana hata mbuga moja ya wanyama. Rais Samia anashindwa nini kumzuia Rais Hussein Mwinyi asiuze visiwa vyote walau aache kisiwa kimoja tukibadilishe kuwa mbuga ya wanyama? Mbuga zote zipo Tanganyika, sisi hatunayo hata moja. Kama Magufuli aliweza kuhamisha wanyama akaanzisha mbuga yeye anashindwaje?

Kusema kweli Rais Samia anapaswa awaombe radhi wazanzibar kwa hii dharau aliyowafanyia kuwapelekea miradi uchwara huku akiwaacha watanganyiia wakijipendelea kwa miradi mikubwa mikubwa. Inauma na inasikitisha sana.
Absolute Nonsense and Rubbish
 
Ni bora umesema wewe ni mpemba, maana uliyosema ulipaswa uyaseme kwa Pemba ni siyo Unguja!.

Wewe unadhani maendeleo yanayofanyika kisiwa cha Unguja pesa inayokusanywa na ZRA inatosha?.

Skuli za magorofa kila eneo, masoko ya magorofa kila eneo, barabara za zege hadi mitaa isiyo rasmi, barabara za lami za njia mbili, hospitali za magorofa kika wilaya, viwanja vya mpira hadi shamba, bandari mpya, kiwanja cha ndege kipya, (bado ikulu mpya tu) aya madaraja ya juu (tunayodanganywa ni) frying over.

Hivyo ni kwa uchache tu, bado unataka kuona nini we mpemba tpaul ?

Pemba kunaonewa sana, Hata Barabara zimewashinda kujenga
 
Zanzibari ni White Collar Economy
-Maana yake serikali itajenga majengo na kuonesha kuwa uchumi umekuwa lakini kiuhalisia sio mzunguki wa hela uliokuwepo hapo ndio umefanya maendeleo hayo kwahiyo hata uwezo wa raia kupanga hayo majengo utakuwa ni mdogo na biashara hakuna zaidi ya watalii wa msimu. Hakuna tofauti na Ethiopia vijana wake kila siku wanakimbia nchi licha ya kuwa na miradi mikubwa Africa.
Mji kama DSM unaona kabisa unakuwa kutokana na mzunguko wa hela uliko

Yah, Hali ya maisha Zanzibar ni mbaya sana, CCM wameshindwa kabisa kuboresha maisha, wamekuja na style za kujenga majengo yanayovutia kwa pesa za mikopo na mashiraka kama ya ZSSF kubabaisha watu.
 
Ni bora umesema wewe ni mpemba, maana uliyosema ulipaswa uyaseme kwa Pemba ni siyo Unguja!.

Wewe unadhani maendeleo yanayofanyika kisiwa cha Unguja pesa inayokusanywa na ZRA inatosha?.

Skuli za magorofa kila eneo, masoko ya magorofa kila eneo, barabara za zege hadi mitaa isiyo rasmi, barabara za lami za njia mbili, hospitali za magorofa kika wilaya, viwanja vya mpira hadi shamba, bandari mpya, kiwanja cha ndege kipya, (bado ikulu mpya tu) aya madaraja ya juu (tunayodanganywa ni) frying over.

Hivyo ni kwa uchache tu, bado unataka kuona nini we mpemba tpaul ?

Miradi ya Dr Mwinyi mingi ni hela ya mkopo, Deni la zanzibar limekuwa kwa kiwango kikubwa sana toka aingie madarakani.
 
eti anahamisha masai badala achukue wanyama sijui ila we jamaa ni blue sana yaah ni empty
 
Kiuhalisia sijawahi kushawishiwa na huu muungano na hakuna wa kunishawishi Hivi lini tutapiga kura juu ya huu muungano wa kinyonyaji? Mimi naamini kama tutapewa nafasi ya kupiga kura kwa uhuru juu ya muungano utavunjika mapema kabla ng'ombe hawajapelekwa machungani.
 
Back
Top Bottom