Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo kwa kweliView attachment 2405108
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022.
================
Afanye wiki kabisa
Ili iwaje?Afanye wiki kabisa
Asante kwa taarifaView attachment 2405108
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022.
================
Kututafutia riziki !! Pamoja na mahusiano mema na ndugu zetu wa Uchina !!
aliyetolewa mkutanoni ??Msalimie yule kiongozi wa zamani Hujintao
Ohooo !! Nilikuwa nimeisahau ile issue. !! Hamna shida kama itakuwa na manufaa kwa nchi ! Isiwe kama gesi ya Ntwara! Anko Magu alisema tumepigwa !!Za ndani zinasema kaenda kupiga signature kuachia Bagamoyo port, mchakato tutapata nini mtatangaziwa baadaye
hahahaaha
Na kale kakirusi kameng’ang’ania sana huko Uchina kalipoanzia !!Mpunzisheni huyu mama. Ya mwendazake yasije kutokea.
Hongera mama kwa kuendelea kuimarisha diplomasia ya uchumiView attachment 2405108
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022.
================
Sisi walipa kodi tumemruhusu alambe asali wiki nzimaIli iwaje?