Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbolow youngAmsalimie Bolo Young, yani BOLO Young yule mchina wa kwenye muvi.
Ameenda kukutafutia fursa kwaajili yako wewe usie na shukraniAmetuacha gizani, njaa,na kiu,shamba la mlimani likiungua, hatujaoga wiki sasa Yeye kabeba mkoba kaenda matembezi!!!!
Unauliza kande msibaniAsije akasaini mikataba ya kinyonyaji tu huko uchina.
Majuzi huyu jamaa alitolewa nje kwenye mkutano wa chama chao cha Kikomunisti sijui alifanya nini? Unaweza kukuta sasa hivi amefungiwa nyumbani!Msalimie yule kiongozi wa zamani Hujintao
Alionekana kama ana tatizo la kiafya akawa anasaidiwa kuingia ukumbini.......ni bora wamwache apumzike kama wanaona hayupo vizuri.Majuzi huyu jamaa alitolewa kwenye mkutano chama chao cha Kikomunisti kama kibaka, sijui alifanya nini? Unaweza kukuta sasa hivi amefungiwa nyumbani!
View attachment 2405108
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022.
================
Tofautisha misaada na mikopo wewe mbuzi!...na siyo bakuri ni bakuli,hutaki misaada/mikopo ukipigwa tozo unalia pia...raia Kama nyie na maqoumah msio na maanaKukamilisha deal la Bagamoyo port kwa hisani ya kupewa misaada,hakuna taifa lililoendelea kwa kupewa misaada,inalemaza.
China imekuwa super power kwa kufanya kazi kwa bidii,sio uzururaji na kutembeza bakuri
Hakuna mtu bakuli lake lilitembea na kujaa Kama wa awamu ya kwanzaAkitoka hapo anaelekea kituo gani kutembeza bakuli mana ndio kazi anayoimudu zaidi ukiachilia mbali ile ya kuteua machawa.
#MaendeleoHayanaChama
Hivi Mkuu yule Mzee alikumbwa na nini?Msalimie Hujintao
Akitoka hapo anaelekea kituo gani kutembeza bakuli mana ndio kazi anayoimudu zaidi ukiachilia mbali ile ya kuteua machawa.
#MaendeleoHayanaChama
😁😁😁 Naona tuko kundi moja kwa sasa! Enzi zile mlikuwa mnatuita wapiga dili na wenye vyeti feki! Yaani kusifia mwanzo mwisho. Ila kwa sasa na nyinyi mnashindia mihogo kama sisi tu.Baada ya hiyo ziara utaskia china yaipa Tanzania mkopo wa mashariti nafuu ikiambatana na vijimisaada
HahahahaaaaaaHaiwezekani akabaki hukohuko milele?
Hana Kazi za kufanya?Sisi walipa kodi tumemruhusu alambe asali wiki nzima