Rais Samia amewasili salama China, hii hapa picha akiwa Uwanja wa Ndege Beijing

Rais Samia amewasili salama China, hii hapa picha akiwa Uwanja wa Ndege Beijing

Ametuacha gizani, njaa,na kiu,shamba la mlimani likiungua, hatujaoga wiki sasa Yeye kabeba mkoba kaenda matembezi!!!!
Ameenda kukutafutia fursa kwaajili yako wewe usie na shukrani
 
Kusaini mikataba ipi tena maana ni kusaini tuuu.
 
Kukamilisha deal la Bagamoyo port kwa hisani ya kupewa misaada,hakuna taifa lililoendelea kwa kupewa misaada,inalemaza.
China imekuwa super power kwa kufanya kazi kwa bidii,sio uzururaji na kutembeza bakuri
Tofautisha misaada na mikopo wewe mbuzi!...na siyo bakuri ni bakuli,hutaki misaada/mikopo ukipigwa tozo unalia pia...raia Kama nyie na maqoumah msio na maana
 
Akitoka hapo anaelekea kituo gani kutembeza bakuli mana ndio kazi anayoimudu zaidi ukiachilia mbali ile ya kuteua machawa.

#MaendeleoHayanaChama
Hakuna mtu bakuli lake lilitembea na kujaa Kama wa awamu ya kwanza
 
Baada ya hiyo ziara utaskia china yaipa Tanzania mkopo wa mashariti nafuu ikiambatana na vijimisaada
😁😁😁 Naona tuko kundi moja kwa sasa! Enzi zile mlikuwa mnatuita wapiga dili na wenye vyeti feki! Yaani kusifia mwanzo mwisho. Ila kwa sasa na nyinyi mnashindia mihogo kama sisi tu.

Na kwa taarifa yako akirudi tu, utasikia Bandari ya Bagamoyo imebinafsishwa kwa Wachina na Waarabu kwa kipindi cha miaka 1000 kudadek!!

Halafu mwisho wa siku mnaishia tu kujengewa ukumbi wa mikutano yenu ya kuchaguana kule Dodoma.
 
Back
Top Bottom