Rais Samia amewasili salama China, hii hapa picha akiwa Uwanja wa Ndege Beijing

China, kuna corona sana kwa sasa, inawezekana Dr Mpango naye akalamba dume.
 
Majuzi huyu jamaa alitolewa nje kwenye mkutano wa chama chao cha Kikomunisti sijui alifanya nini? Unaweza kukuta sasa hivi amefungiwa nyumbani!
Ndivyo zilivyo nchi za kijamaa. Hata Nyerere alimfungia Mwinyi Jumbe ndani kwa miaka 30+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ