Umesahau wewe ni chawa tu na sio msemaji wa ikuluHana Kazi za kufanya?
SawaUmesahau wewe ni chawa tu na sio msemaji wa ikulu
China, kuna corona sana kwa sasa, inawezekana Dr Mpango naye akalamba dume.View attachment 2405108
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022.
================
View attachment 2405115
Kufahamu ziara nyingine za rais Samia tangu aingie madarakani soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
Na wananchi Dar hawana maji hakuna umeme ila hiyo mikataba ya kusainiwa huko china mtanikumbukaHana Kazi za kufanya?
Ndivyo zilivyo nchi za kijamaa. Hata Nyerere alimfungia Mwinyi Jumbe ndani kwa miaka 30+Majuzi huyu jamaa alitolewa nje kwenye mkutano wa chama chao cha Kikomunisti sijui alifanya nini? Unaweza kukuta sasa hivi amefungiwa nyumbani!
Hujintao yule wa Rush hour!!??Msalimie Hujintao
๐ฎ๐ฎNa wananchi Dar hawana maji hakuna umeme ila hiyo mikataba ya kusainiwa huko china mtanikumbuka
Trees and animals ! Duh !Unauliza kande msibani
Wacha hizi mambo ndugu.๐๐๐Haiwezekani akabaki hukohuko milele?