thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
So what?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba zilianza kujengwa wakati wa JPM alafu papo hapo unasema awamu hii ipo kwaajili ya wakubwa! Hivi zinakutosha kweli?Hizi nyumba watakabidhiwa marais wote wastafu na zilinza kujengwa kipindi cha jpm hii kikwete alisema waimalize kwanza yeye bado amepanga na hadaiwi kodi hatimae leo wamekabidhi
Nyie maskini mtajijua awamu hii ipo kwa wakubwa na matajiri wa taifa
Ndio hilo la maana. Wacha wagawane mema ya nchi.Mama hana kazi bado hajafanya la maana
Kama ni nyumba tayari yupo kwenye nyumba yake ya milele aliyojengewa na serikali tarehe 26/03/2021
Ndugu yangu muogope Mungu.Marehemu dikiteta magufuli lile kaburi linamtosha.
Watumishi wanaambiwa wasubiri, serikali haina pesa.Wanagawiana utajiri wa nchi hii kama Njugu.
Kikwete mwenye Lijumba lote lile Msoga ana shida gani ya nyumba?
Wanajitungia misheria ya kulipana mibenefits ya kufuru halafu tukiwauliza wanajitetea kwa sheria hizohizo!
Hiyo nyumba wala hajajengewa Kikwete bali ni urithi wa Riziwani, Miraji, Salama, Mama Salma na watoto wa Kikwete.
Mambo mengine ya nchi hii yanatia kinyaa ajabu.
Anazurura tu!Mama hana kazi bado hajafanya la maana
Tena ile nyumba ya 26 March ni nzuri ajabu. Kitu kilikuwa kina slide kama mtelezo. Ila naye lazima ajengewe nyumba. Alianzisha na itahusu marais wote watakaokuja kwa kuanza na yeye. Mjanja sana.Kama ni nyumba tayari yupo kwenye nyumba yake ya milele aliyojengewa na serikali tarehe 26/03/2021
Ajengewe ya pili wakati hayupo?Tena ile nyumba ya 26 March ni nzuri ajabu. Kitu kilikuwa kina slide kama mtelezo. Ila naye lazima ajengewe nyumba. Alianzisha na itahusu marais wote watakaokuja kwa kuanza na yeye. Mjanja sana.
Mama hana kazi bado hajafanya la maana
😄😄Si tayari ana nyumba yake ya milele ama?
😀 😀, mama anakwenda vizuri au nasema uongo ndugu zangu.?Mama hana kazi bado hajafanya la maana
Mweleze huyo mkuu wangu. Kwanza mwambie kuwa kazi kubwa kuliko zote ni kurejesha furaha na uhuru wa mtanzania ulioporwa miaka 5 na ushee. Hata asipofanya kazi nyingine hiyo tu inatosha kwa mwaka 2021.Amefungulia twitter, bank account za watetezi wa haki za binadamu zilizofungwa na Magufuli, amendoa VRF ya HESLB, n.k. Fanya research kabla ya kuropoka!
Nikajua wanaweza mkabidhi nyumba ya ziada[emoji1][emoji1]Si tayari ana nyumba yake ya milele ama?