Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini isiwe sasaKwa nini iwe sasa
kwani mtanzania akipewa eneo na kuliendeleza kuna ubaya ganiTunangojea anitokeze chawa flani awajengee hiyo ofc. Toka lini Hati ya kiwanja anakabidhi Rais ...dah!
haidhuru ndugu, ondoa shaka serikali ni makini sanaKwa nn apewe ktk kipindi hiki?., huoni kuwa ni km ushawishi unatafutwa kwa nguvu zote?
Hawa TLS jina lao lina-ax eneo linaloleta valangati flani ktk ardhi hii. Wajumbe wake wengi ndo hao walojaa ktk mhimili wa mahakama. Kualikwa kwao itabidi kufuatiwe na chaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia Hati ya Kiwanja kilichopo Arusha kwa ajili ya Ujenzi wa Ofisi zao mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia pamoja na ujumbe wake katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya kumbukumbu na Wanasheria Wanawake wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) pamoja na Wanasheria Wanawake wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.