Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili matopeHamna anaweza kumshinda jamuhuri.
Hao wameisha fika beiJana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:
View attachment 2717952
Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?
Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?
Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
Kila kauli ina walakiniJana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:
View attachment 2717952
Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?
Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?
Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
Kwa kiasi fulani umesema ukweli kabisa. Hata mimi kuna wakati mwingine huwa nasikia hasira mno ninapoona jinsi watanzania walivyo wajinga. Wao waambie Simba na Yanga, au Diamond. Yaani kila mtu akikaribiana na rais, akili zote humtoka na kujikuta anabwabwaja sifa. Wanasema makosa ya serikali wanaandamwa na dola na wananchi wanajifanya kama hawaoni. Ila subiri nikuambie. Kuna siku hawa wote wanaokaa kimya watakuja kulia na kusaga meno na kujuta ni kwa nini hawakupiga kelele. Nchi yetu ilipofikia sasa ikija kutokea fujo yoyote kuja kuirudisha tena kwenye utulivu itachukuwa muda mrefu mno. Hili ndilo linafanya wengine waone umuhimu wa kupiga kelele hata kama hawana support.Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
TLS haiwezi kuwa na ajenda tofauti na matakwa ya serikali maana ni taasisi ya serikali. Ilianzishwa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge.Jana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:
View attachment 2717952
Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?
Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?
Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
Uko sahihi. Mind your own business. Enjoy life.Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
Uko sahihi. Mind your own business. Enjoy life.
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
HAO WANAOPIGA KELELE NDIYO WALETA FUJO NA HATUWAHITAJI HAPA NCHINI KWETU WENYEWE TUMETULIA SIJUI WANATAKA NINI?Kwa kiasi fulani umesema ukweli kabisa. Hata mimi kuna wakati mwingine huwa nasikia hasira mno ninapoona jinsi watanzania walivyo wajinga. Wao waambie Simba na Yanga, au Diamond. Yaani kila mtu akikaribiana na rais, akili zote humtoka na kujikuta anabwabwaja sifa. Wanasema makosa ya serikali wanaandamwa na dola na wananchi wanajifanya kama hawaoni. Ila subiri nikuambie. Kuna siku hawa wote wanaokaa kimya watakuja kulia na kusaga meno na kujuta ni kwa nini hawakupiga kelele. Nchi yetu ilipofikia sasa ikija kutokea fujo yoyote kuja kuirudisha tena kwenye utulivu itachukuwa muda mrefu mno. Hili ndilo linafanya wengine waone umuhimu wa kupiga kelele hata kama hawana support.
HAO WANAOPIGA KELELE NDIYO WALETA FUJO NA HATUWAHITAJI HAPA NCHINI KWETU WENYEWE TUMETULIA SIJUI WANATAKA NINI?
Bado hamjasemaHi regime inachofanya ni kutweka mifukoni wote wenye influence ishafanikiwa kwenye Bunge, mahakama na sasa watetezi wa haki. Hii Ngoma ni ngumu kuliko awamu ile
Primitive mindset! Lack of education and exposure! Need to say more?HAO WANAOPIGA KELELE NDIYO WALETA FUJO NA HATUWAHITAJI HAPA NCHINI KWETU WENYEWE TUMETULIA SIJUI WANATAKA NINI?