Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

1692089715107.png
 
Jana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:

View attachment 2717952

Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?

Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?

Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
Hao wameisha fika bei
 
Jana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:

View attachment 2717952

Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?

Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?

Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
Kila kauli ina walakini
 
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
 
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
Kwa kiasi fulani umesema ukweli kabisa. Hata mimi kuna wakati mwingine huwa nasikia hasira mno ninapoona jinsi watanzania walivyo wajinga. Wao waambie Simba na Yanga, au Diamond. Yaani kila mtu akikaribiana na rais, akili zote humtoka na kujikuta anabwabwaja sifa. Wanasema makosa ya serikali wanaandamwa na dola na wananchi wanajifanya kama hawaoni. Ila subiri nikuambie. Kuna siku hawa wote wanaokaa kimya watakuja kulia na kusaga meno na kujuta ni kwa nini hawakupiga kelele. Nchi yetu ilipofikia sasa ikija kutokea fujo yoyote kuja kuirudisha tena kwenye utulivu itachukuwa muda mrefu mno. Hili ndilo linafanya wengine waone umuhimu wa kupiga kelele hata kama hawana support.
 
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki

Sad part is wananchi wanajua ni wajinga, lakin hawataki kutoka huko maana ujinga umekuwa way of life.
Naona upinza wanapigania watu ambao hawako tayari kubadilika
 
Jana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:

View attachment 2717952

Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?

Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?

Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
TLS haiwezi kuwa na ajenda tofauti na matakwa ya serikali maana ni taasisi ya serikali. Ilianzishwa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge.
 
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki
Uko sahihi. Mind your own business. Enjoy life.
 
Kla sku tunawambia enjoy maisha pambana na familia yako ila ukiangaika na siasa na wanasiasa utapotea
Unaangaikia wananchi wakat wananchi wenyeww ni majinga tena majinga hasa
Utakufa uache familia yako ikiteseka na hao wananchi unaowapambania ndo wakwanza kukuzalau na kukudhihaki

Ushauri murua kutoka kwa walamba asali.

IMG_20211119_091739_123.jpg


Kulikoni ndugu wewe ni mmoja wao?
 
Kwa kiasi fulani umesema ukweli kabisa. Hata mimi kuna wakati mwingine huwa nasikia hasira mno ninapoona jinsi watanzania walivyo wajinga. Wao waambie Simba na Yanga, au Diamond. Yaani kila mtu akikaribiana na rais, akili zote humtoka na kujikuta anabwabwaja sifa. Wanasema makosa ya serikali wanaandamwa na dola na wananchi wanajifanya kama hawaoni. Ila subiri nikuambie. Kuna siku hawa wote wanaokaa kimya watakuja kulia na kusaga meno na kujuta ni kwa nini hawakupiga kelele. Nchi yetu ilipofikia sasa ikija kutokea fujo yoyote kuja kuirudisha tena kwenye utulivu itachukuwa muda mrefu mno. Hili ndilo linafanya wengine waone umuhimu wa kupiga kelele hata kama hawana support.
HAO WANAOPIGA KELELE NDIYO WALETA FUJO NA HATUWAHITAJI HAPA NCHINI KWETU WENYEWE TUMETULIA SIJUI WANATAKA NINI?
 
RoDrick RaY unaamini kwenye past zaidi ya present, kwa hiyo kauli yako umejionesha vile ulivyo mtu asiyebadilika kifikra, unatembea na kuamini yaliyopita miaka yote.

Kama unaamini watanzania ni wajinga, wasiobadilika, kwanini basi serikali inahangaika kuwakamata wale wanaowaamsha hao watanzania wasiobadilika? hujioni ulivyolala kifikra?

Hizi fikra zako mgando kwa upande wa pili ndio zitaenda kuleta kilio mpaka kwa kizazi kijacho cha hili taifa, pake ambapo watakuta rasilimali zilizotakiwa kuwa zao, zimetolewa milele kwa waarabu, huku mjinga wa sampuli yako ukijidai ku mind your own business!.

Amka usiangamize mpaka kizazi kijacho kwa fikra zako mgando.
 
Back
Top Bottom