Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) pamoja na Wanasheria Wanawake wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.

WhatsApp Image 2023-08-14 at 16.57.08.jpeg
Ila wanawake bhana, yaan wanaiga tu pozi za kiume...... hawajui wanaume hapo wanafichaga urithi (next generation🤭). Na wao wanaficha tu hata hawajui wanaficha nn😝😆
 

View: https://youtu.be/ik2PWn6qjh0

Kwamba ni tawi la CCM na genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.

Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....

Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!

Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
 
Kwamba ni genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.

Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....

Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!

Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
TLS Matumbo. By the way katiba ndiyo tatizo Raisi ni kama mungu wa nchi maajabu haya anasujudiwa kwa kila lugha
 
Wamekosea kweli kuopokea hiko kiwanja wakati huu!
Kamwe hawataweza kuzungumza negative dhidi ya serikali.
 
Kwamba ni genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.

Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....

Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!

Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
Dalili za msongo wa mawazo ni kutaka kila mtu aishi unavyotaka wewe. Wahi milembe usiwapangie wenzako maisha
 
Hayo ndo Maendeleo, hizo ndo zinduzi za miradi mipya. Daah! Spana na sindano zikizidi anaibuka na viroja sijui vihoja kama hivi vya kutoa kipande cha ardhi! Wananchi wanabaki wanajiuliza bei ya unga, mafuta, mchele ambavyo ni too basic vinashuka lini? No response tunaibuka Ikulu kktana na vikundi vya watu.
 
Hosea nilimuuliza pale clubhouse,mbona hatuongelei katiba mpya?Alikimbia Kwa 5G hajaonekana tena ,maana anaogopa maswaliiii
 
Huyu mama ni Delila. Sada amewarukia mawakili kuwapa hati ya kiwanja.
Mbona hakuwapatia hiyo hati mwaka jsna?
 

View: https://youtu.be/ik2PWn6qjh0

Kwamba ni tawi la CCM na genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.

Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....

Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!

Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana

Inamaaana wewe hupendi kuona watu wakiwa pamoja na kujengana pamoja? Hicho chama cha wanasheria nacho ni sehemu ya taasisi muhimu katika kukuza ustawi wa jamiii. Mbona mbowe naye ameshaenda ikulu, kwani mbowe naye ni ccm??
 
Kwa Position na majukumu ya TLS kuna vitu lazima waviepuke hasa hivi vya kutafuta huruma kutoka kwa watawala.

Wanashindwa kuchangishana kununua kiwanja? Ni hadi wangoje kupewa kama zawadi?

Hii zawadi haitaenda bure lazima TLS wailipe in kind,Hati ya kiwanja haijatolewa bure no free Lunch.

Sasa kama wabobezi wa sheria wana fanya hsys vipi sisi tusio kuwa hata ns ABC za sheria? hii ni Tassisi inayo paswa kusaidia kusimamia haki nchi hii wamepewa zawadi na watawala unategemea nini?

TLS ni watalamu wa sheria wanaweza vipi kukubali vitu rahisi kama hivi vya zawadi za kiwanja?

Nimeshangaa sana kwa hili na sitarajii hawa jamaa kuwa na mstari wa mbele tena kupigania haki kwenye nchi hii binafisi nimewadelete kuanzia leo.

Law Society of Kenya(LSK) huwezi pata picha wakiwa wamepiga na watawala hata pia Viongozi wa Upinzani kwa kifupi hawana upande wanacho angalia ni ukikwaji wa wazi wa katiba ya Kenya na hawawezi itwa Ikulu wakakubali kwenda make wanajua impact yake kweny kupigania haki.Hawa TLS yetu ni full njaa.

Hawa TLS wetu kitendo tu cha kuona picha wakiwa Ikulu na pia wakikabidhiwa kiwanja nikajua ndio kazi kwisha hawa ni watalamu wa sheria wameisha fika bei na mbaya zaidi Watawala wamefanya timing ya kungoja kwenye hili sakata la DP ndio wawape zaiwadi ya kiwanja.

Usitarajie kuwasikia wakitoa negative statment dhidi ya watwala tena.
 
Masikini Tanzania...nchi tajiri iliyosheheni wananchi fukara, nchi yenye wasomi iliyosheheni wananchi wanafiki na nchi ya amani iliyosheheni wananchi waoga. Heri jeshi la simba linaloongozwa na kondoo kuliko jeshi la kondoo linaloongozwa na simba.

Hata siku moja sikuota nitashuhudia niliyoyaona leo!
 
Back
Top Bottom