Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanawake bhana, yaan wanaiga tu pozi za kiume...... hawajui wanaume hapo wanafichaga urithi (next generation🤭). Na wao wanaficha tu hata hawajui wanaficha nn😝😆Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) pamoja na Wanasheria Wanawake wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
![]()
Naunga mkono hojaBroke society and laws.. wapi na wapi bhana .
Kesho atajitokeza mtu atawajengea Office...
Ila ile kuanzisha bifu na mtoto mdogo kama Diamond baada ya kuzidiwa nae umaarufu ni aibu+. Mpaka sasa mimi wanafamilia wenzangu hatuamini!!!
TLS Matumbo. By the way katiba ndiyo tatizo Raisi ni kama mungu wa nchi maajabu haya anasujudiwa kwa kila lughaKwamba ni genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.
Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....
Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!
Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
Dalili za msongo wa mawazo ni kutaka kila mtu aishi unavyotaka wewe. Wahi milembe usiwapangie wenzako maishaKwamba ni genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.
Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....
Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!
Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
View: https://youtu.be/ik2PWn6qjh0
Kwamba ni tawi la CCM na genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.
Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....
Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!
Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
KabisaFake human beings do exist.
Hawa wasomi wetu wa sheria wamenishangaza mno.Rushwa hutia upofu. Kwisha habari ya Bandari......ila mungu ni mkali mnooo. Mama kua makini. Binadamu unatuweza ila mungu anatumudu soote sw.