Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Huna unacho kijua wewe ni type ya wale ambao fuvu limebeba kamasi badala ya akili,some time muwe mnajikita kwenye magroup ya miziki kule ndio levo zenu
Kwahyo wewe mwenye fuvu lililojaa mende unawazidiii hao wanasheria uelewaa? Hovyo kabisa. Acha roho mbaya, unawapangia cha kufanya?? Mbona hukumkataza mbowe alipoenda ikuluu.
 
Vipi kama Serikaki haifuati katiba unazani kuna watakacho weza kufanya? Wafuatilie Law Society of Kenya uone kazi zao hawana muda wakujikomba kwa watawala.
Kuna tofauti kati ya wanyama na binadamu.
Kama wanasheria wetu watakuwa kama mbwa koko anayerushiwa mfupa/nyama ili mwizi aingie aibe, basi tutakuwa siyo taifa linaloweza kujitawala.
 
Vipi kama Serikaki haifuati katiba unazani kuna watakacho weza kufanya? Wafuatilie Law Society of Kenya uone kazi zao hawana muda wakujikomba kwa watawala.
Hongo ya kuwaziba midomo hiyo..

Na CCM walivyo wajinga na wapumbavu itakuwa, "...wanashindwa kumheshimu 'nani kama mama' aliyewapa mpaka kiwanja badala yake wanamtukana (kuonya na kukosoa kwa lugha kali kwa maCCM ni kutukana) Rais na serikali?"

Yaani ni kama walivyocheza cinema ya Freeman Mbowe au Tundu Lissu na leo ndo imekuwa agenda. Eti wanaambiwa hawana shukrani kwa "nani kama mama" eti kwa sababu alimtoa Mbowe gerezani na mwingine alimrudisha toka Ulaya..!

This people are really very stupid!!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa hiyo Rais anatoa rushwa waziwazi kwa TLS ili TLS inyamazie uvunjwaje wa sheria nchini?

Hii ni aibu kubwa sana . Anataka TLS isitoe nyaraka nyingine za kuchambua mwenendo wa kisheria nchini kama walivyofanya kwenye mkataba wa Bandari?.

AIBU AIBU AIBU.
Huyu mama atanunua wangapi ili tu dili lake la kugawa bandari zetu zote kwa waarabu lifanikiwe?
 
Ukimsikiliza huyo Rais wa TLS Sungusa kuna kitu amekisema
'' Tupo tayari kutoa elimu ya sheria kuhusu KATIBA inayohusu mambo yanayowagusa Wananchi kiuchumi na kimaisha''

Si elimu ya Haki Jinai wala si elimu ya Mirathi au Elimu ya Ardhi. Ni elimu ya KATIBA

Hii kauli inaashiria kwamba TLS watapewa kazi ya kutoa elimu ya katiba kwa kushirikiana na ''Msajili wa vyama', Kamati ya Prof Mkandara na Tume ya Haki jamii. Yote hayo ni katika kutekeleza kile serikali inataka.

Si tuliambiwa TLS walikuwa na Kiwanja wakati wa Tundu Lissu halafu Fatma Karume na hata Hosea. Hivi walianzaje kujenga bila kuwa na hati? Mbona hatujasikia hati ya taasisi nyingine kama chama cha Injinia, Madaktari au Wahasibu vikitolewa Ikulu !

Nimesikia mtu mmoja akisema TLS ni '' Tanzania Lost Society'' !

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Kwa hiyo Rais anatoa rushwa waziwazi kwa TLS ili TLS inyamazie uvunjwaje wa sheria nchini?

Hii ni aibu kubwa sana . Anataka TLS isitoe nyaraka nyingine za kuchambua mwenendo wa kisheria nchini kama walivyofanya kwenye mkataba wa Bandari?.

AIBU AIBU AIBU.
Huyu mama atanunua wangapi ili tu dili lake la kugawa bandari zetu zote kwa waarabu lifanikiwe?
Ndio lengo lake, nawakubali sana wale Kenya law Socirty of Kenya wako serious mno
 
Ukimsikiliza huyo Rais wa TLS Sungusa kuna kitu amekisema
'' Tupo tayari kutoa elimu ya sheria kuhusu KATIBA inayohusu mambo yanayowagusa Wananchi kiuchumi na kimaisha''

Si elimu ya Haki Jinai wala si elimu ya Mirathi au Elimu ya Ardhi. Ni elimu ya KATIBA

Hii kauli inaashiria kwamba TLS watapewa kazi ya kutoa elimu ya katiba kwa kushirikiana na ''Msajili wa vyama', Kamati ya Prof Mkandara na Tume ya Haki jamii. Yote hayo ni katika kutekeleza kile serikali inataka.

Si tuliambiwa TLS walikuwa na Kiwanja wakati wa Tundu Lissu halafu Fatma Karume na hata Hosea. Hivi walianzaje kujenga bila kuwa na hati? Mbona hatujasikia hati ya taasisi nyingine kama chama cha Injinia, Madaktari au Wahasibu vikitolewa Ikulu !

Nimesikia mtu mmoja akisema TLS ni '' Tanzania Lost Society'' !

JokaKuu Pascal Mayalla
Hawa TLS ni wamehongwa kiwanja, ni aibu kuu kwa taasisi kama ile kuanza kutafuta huruma kwa watawala,
 
Ina maana hawa wanasheria wameshindwa kununua kiwanja na kujenga ofisi yao mpaka Rais awape kiwanja?
 
Taasisi zote muhimu Kama Bunge, Mahakama, TLS etc zinapoanza kuwa sehemu ya Muhimili uliohichimbia kwa Mamlaka, we are completely finished.
 
Pasco et El mmepewa kiwanja Cha ofisi,

Ni Kweli michango ya Wanasheria wote tz haitoshi kununua kiwanja na kujijengea ofisi?
 
  1. Mh. Rais Samia hajawapa rushwa ya kiwanja Chama cha Wanasheria TLS kiwanja kujenga ofisi yao Arusha. msipende kutunga uongo kwa Mh. Rais, Rais mbona anasadia mengi na hamsemi kupewa TLS imekuwa nongwa.
 
Jana wale ndugu zetu wenye kujinasibu vilivyo na Ile dhana yetu pendwa ya "usomi" walitia timu ikulu:

F3jc0HIWcAIwKxh.jpeg


Hawa ndugu walikuwa na ujumbe gani kwa maslahi ya nchi hii zaidi ya yale yao binafsi?

Wasivyokuwa na simile hawa ndugu, hayakuwapo japo yatokanayo almaarufu AOB?

Mwongozo tafadhali ikizingatiwa pana mafukuto ya kutosha yenye kuhitaji busara.
 
Back
Top Bottom