Kwa Position na majukumu ya TLS kuna vitu lazima waviepuke hasa hivi vya kutafuta huruma kutoka kwa watawala.
Wanashindwa kuchangishana kununua kiwanja? Ni hadi wangoje kupewa kama zawadi?
Hii zawadi haitaenda bure lazima TLS wailipe in kind,Hati ya kiwanja haijatolewa bure no free Lunch.
Sasa kama wabobezi wa sheria wana fanya hsys vipi sisi tusio kuwa hata ns ABC za sheria? hii ni Tassisi inayo paswa kusaidia kusimamia haki nchi hii wamepewa zawadi na watawala unategemea nini?
TLS ni watalamu wa sheria wanaweza vipi kukubali vitu rahisi kama hivi vya zawadi za kiwanja?
Nimeshangaa sana kwa hili na sitarajii hawa jamaa kuwa na mstari wa mbele tena kupigania haki kwenye nchi hii binafisi nimewadelete kuanzia leo.
Law Society of Kenya(LSK) huwezi pata picha wakiwa wamepiga na watawala hata pia Viongozi wa Upinzani kwa kifupi hawana upande wanacho angalia ni ukikwaji wa wazi wa katiba ya Kenya na hawawezi itwa Ikulu wakakubali kwenda make wanajua impact yake kweny kupigania haki.Hawa TLS yetu ni full njaa.
Hawa TLS wetu kitendo tu cha kuona picha wakiwa Ikulu na pia wakikabidhiwa kiwanja nikajua ndio kazi kwisha hawa ni watalamu wa sheria wameisha fika bei na mbaya zaidi Watawala wamefanya timing ya kungoja kwenye hili sakata la DP ndio wawape zaiwadi ya kiwanja.
Usitarajie kuwasikia wakitoa negative statment dhidi ya watwala tena.