Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Hiki chama nacho kisije kikawa tawi dogo la CCM.
 
Hawa TLS jina lao lina-ax eneo linaloleta valangati flani ktk ardhi hii. Wajumbe wake wengi ndo hao walojaa ktk mhimili wa mahakama. Kualikwa kwao itabidi kufuatiwe na cha
Madaktari, kilimo, waalimu na taaluma zngn zote. Nje ya hapo watu watajiuliza, "why TLS and not the others,
the timing ...etc". Kwngu mm kdgo na imani na hawa wanachama wa TLS. Sjui kama huyu M/kt wa ss kafika bei. Let's keep our fingers crossed. Time will tell. Ingekuwa ushauri, ningeomba Mama asifanye maamuzi ambayo, kwa muda huu, yataonekana kuwa na uhusiano na kilichoko mahakamani au mambo ya Bandari...nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…