Rais Samia ampandisha cheo ACP Awadhi Juma Haji kuwa Kamishina wa Polisi Zanzibar

Rais Samia ampandisha cheo ACP Awadhi Juma Haji kuwa Kamishina wa Polisi Zanzibar

Rais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar.

Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.

Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!

View attachment 2105032
Na anaupiga kweli

Jamaa huenda akachukuwa nafasi ya Siro
 
Unaweza kuandika virefu vyake?
Hapo ndipo tutakata mzizi wa fitina
ACP- assistant commissioner of Police
SACP - Senior Assistant commissioner of Police
DCP- Deputy commissioner of Police
CP- Commissioner of Police
 
Haki na sheria ni vitu tofauti kama mbingu na ardhi, magu alikuwa anapandisha cheo kama alivyo fanya mfalme wa misri kwa yusufu au mfalme nebukadreza alivyo tafuta watu wenye akili na hekima nchi nzima ili awape vyeo vya juu, hivyo JPM alikuwa aangalii sheria ana angalia uwezo ,ufanisi uzalendo ,akili ,bidii ya kazi,na mambo kama hayo , wakati mama ana angalia ,ukabila ,udini ,uchama,uteam msoga, kama unachukia masikini wewe cheo ni chako, kama unatuhuma za ufisadi cheo ni chako ,kama wewe ni mnafiki cheo ni chako ,na katika yote ,MADUI WAKUBWA SANA WA MAMA NI WAZALENDO HAO INAFANYIKA JUU CHINI KUWA POTEZA KWENYE MAMLAKA ZA KIUONGOZI,
Utumishi wa Umma upo kwa mujibu wa sheria, miongozo, kanuni na taratibu. Rais huapa kwa kutumia katiba na kumuomba Mungu amsaidie ili afuate katiba ambayo inabeba sheria zote ikiwemo haki za watumishi.

Ukisema jiwe alifata haki na kupuuza sheria, unakuwa unachekesha kwa sababu sheria za utumishi wa Umma zinaelezea haki na wajibu wa watumishi.

Sasa iweje jiwe afuate haki aache sheria?

Hizo haki ni zipi zisizojulikana?

Sijui nchi ilikuwa inaenda wapi!
 
Utumishi wa Umma upo kwa mujibu wa sheria, miongozo, kanuni na taratibu. Rais huapa kwa kutumia katiba na kumuomba Mungu amsaidie ili afuate katiba ambayo inabeba sheria zote ikiwemo haki za watumishi.

Ukisema jiwe alifata haki na kupuuza sheria, unakuwa unachekesha kwa sababu sheria za utumishi wa Umma zinaelezea haki na wajibu wa watumishi.

Sasa iweje jiwe afuate haki aache sheria?

Hizo haki ni zipi zisizojulikana?

Sijui nchi ilikuwa inaenda wapi!
Watumishi wa tz haki yenu ya kwanza ni kufukuzwa kazi au kushushwa mishahara amna ufanisi wowote kazini mmekalia ushirikina tu na majungu ,
 
Watumishi wa tz haki yenu ya kwanza ni kufukuzwa kazi au kushushwa mishahara amna ufanisi wowote kazini mmekalia ushirikina tu na majungu ,
Hii mada siyo size yako.
 
Hii mada siyo size yako.
Yani nyinyi wapumbavu mnawaza kupandishwa mishahara wakati ni watumishi wabovu mmejaa upumbaavu toka visiginoni hadi utosini [emoji2957][emoji2957][emoji2957]what is this shit**** mnawaza kuvuana chu*p 24hrs tu basi
 
Yani nyinyi wapumbavu mnawaza kupandishwa mishahara wakati ni watumishi wabovu mmejaa upumbaavu toka visiginoni hadi utosini [emoji2957][emoji2957][emoji2957]what is this shit****
Umeruhusu hizia zako kuteka akili yako na akili imeteka mikono yako na mikono inaandika matusi.

Haupo sawa!
 
Yani nyinyi wapumbavu mnawaza kupandishwa mishahara wakati ni watumishi wabovu mmejaa upumbaavu toka visiginoni hadi utosini [emoji2957][emoji2957][emoji2957]what is this shit**** mnawaza kuvuana chu*p 24hrs tu basi
Duh

Ova
 
Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Kuimba kupokezana. Wakati wa Magufuli watu walikuwa wanalalamika UDINI na kwamba Waislam hawateuliwi, mlikuwa mnawatukana humu jamvini. Leo imegeuka mnaanza kulia. Ndio muone athari za ubaguzi wa kidini.
 
Muhammad pia alibariki hii kitu maana Zanzibar asilimia 75% vijana wote ni goigoi pia wapo na viashiria vya kike. tameer

Muhammad pia alibariki hii kitu maana Zanzibar asilimia 75% vijana wote ni goigoi pia wapo na viashiria vya kike. tameer
1643791828373.png
 
Tunampenda Simon Nyakorro Sirro kwa sababu yy ndiye kakomesha ujambazi wa kutisha hapa nchini. Mengineyo ni mapungufu ya wana wa Afam
Nilimfahamu kipindi kile cha akina Tibaigana na nikampenda kuanzia pale. Tibaigana was my favourite, sijui yuko wapi sasa hivi! Alikuwa anaongea taratibu tu, vitisho hamna, lakini mchezo hapana
 
Back
Top Bottom