butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Sasa kama Boss wa level hiyo analamba Hela mbuzi kiasi hicho.Je,mwenye cheo cha koplo anaramba ngapi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama Boss wa level hiyo analamba Hela mbuzi kiasi hicho.Je,mwenye cheo cha koplo anaramba ngapi!!
Ni Wajumbe wa kamati ya Ulinzi shirikishi (ndumba na ngai)!Ni
Nini Siri ya Samia kuwaamini sana watu wa kigoma? Hawa ndo wakigoma aliowateua:
1. Philip mpango
2. Katanga
3. Kafulila
4. Murilo
5. Mambo Sasa
6. Ndalichako
7. Machali
8. Dr fransis Michael
9. N.k
Acheni uongo sio mota wala unyevu, murilo ni moto.(umuliro ).Wacha uongo; murilo kwa kiha ni unyevu.
jina lake ni Hamisi Issa. alishakuwa rpc viwanja vya ndege na rpc wa kilimanjaro. akiongea kama reporter wa radio au tv. style yake ya kipekeeKuna rpc mmoja wa njombe sijui walimtoa wapi anaongea km nabii au mtangaza mpira🤣🤣
Hongera sana!
For sure nakukubali sana mkufunzi wng criminal procedure - ulicheleweshwa
Style gani ile ya hovyo..! Mshaurini abadili isee..jina lake ni Hamisi Issa. alishakuwa rpc viwanja vya ndege na rpc wa kilimanjaro. akiongea kama reporter wa radio au tv. style yake ya kipekee
Hata hivyo amecheleweshwa sana,vijana wengi aliowapokea CCP wakiwa KURUTA mwaka 1998 na yeye akiwa Assistant Inspekta akawafundisha,wakamaliza DEPO na kuanza kazi,wengi wao wamepanda Vyeo mpaka kumfikia Cheo chake cha ACP na wengine wamempita na kumpita,mfano ni RPC Singida(ACP),RPC Tabora(ACP)RCO Tanga (ACP)na wengine wengi akiwemo Kaimu Kamanda wake wa Kanda Maalum ni ACP lakini ni kijana wake aliyempokea Depo 1998,waliomkuta na kumpita ndio hao nina CP Salum Hamduni,CP Awadhi nk,anyway Hongera kwake japo ndio kitakuwa Cheo cha kustaafia[emoji122]
ile style inamfanya awe na mvuto wa kusikilizwaStyle gani ile ya hovyo..! Mshaurini abadili isee..
duu mbona wanafunzi walimpita mbali yaani ACP sasa ivi SACP awafikie wakina hamduni mpaka afike Deputy CP halfu ndio CP kamiliHata hivyo amecheleweshwa sana,vijana wengi aliowapokea CCP wakiwa KURUTA mwaka 1998 na yeye akiwa Assistant Inspekta akawafundisha,wakamaliza DEPO na kuanza kazi,wengi wao wamepanda Vyeo mpaka kumfikia Cheo chake cha ACP na wengine wamempita na kumpita,mfano ni RPC Singida(ACP),RPC Tabora(ACP)RCO Tanga (ACP)na wengine wengi akiwemo Kaimu Kamanda wake wa Kanda Maalum ni ACP lakini ni kijana wake aliyempokea Depo 1998,waliomkuta na kumpita ndio hao nina CP Salum Hamduni,CP Awadhi nk,anyway Hongera kwake japo ndio kitakuwa Cheo cha kustaafia[emoji122]
Hilo liko wazi lakini linategemea na mtu!!na lina risk zake.Na hizo hazipo kwenye pesheni yake!!!Kwani mshahara ndio wako ndio utatumika kwenye kupata pensheni nzuri.Kumbuka wana chance kubwa sana za upigaji mkuu... mtu kama Muliro kukusanya 20M kwa mwezi ni kitu kifogo sana.
Hiyo ni BasicBas mishahara yao n ya kawaida Sana wanamajukumu .makubwa sana ila mshahara kiduchu
Sent using Jamii Forums mobile app
2004 akiwa CCP MoshiHivi huyu ni Lecturer kumbe?
2004 akiwa CCP Moshi
2004 akiwa CCP Moshi
Mambo sasa ni wa kigoma au Rukwa?Ni
Nini Siri ya Samia kuwaamini sana watu wa kigoma? Hawa ndo wakigoma aliowateua:
1. Philip mpango
2. Katanga
3. Kafulila
4. Murilo
5. Mambo Sasa
6. Ndalichako
7. Machali
8. Dr fransis Michael
9. N.k
KigomaMambo sasa ni wa kigoma au Rukwa?