Rais Samia ampandisha cheo ACP Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)

Rais Samia ampandisha cheo ACP Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)

Hata hivyo amecheleweshwa sana,vijana wengi aliowapokea CCP wakiwa KURUTA mwaka 1998 na yeye akiwa Assistant Inspekta akawafundisha,wakamaliza DEPO na kuanza kazi,wengi wao wamepanda Vyeo mpaka kumfikia Cheo chake cha ACP na wengine wamempita na kumpita,mfano ni RPC Singida(ACP),RPC Tabora(ACP)RCO Tanga (ACP)na wengine wengi akiwemo Kaimu Kamanda wake wa Kanda Maalum ni ACP lakini ni kijana wake aliyempokea Depo 1998,waliomkuta na kumpita ndio hao nina CP Salum Hamduni,CP Awadhi nk,anyway Hongera kwake japo ndio kitakuwa Cheo cha kustaafia[emoji122]
ELIMU,ELIMU,ELIMU
 
Kamanda wa kanda maalumu ana 2.4 sawa na headmasta mwenye digrii aliyeanza kazi 1999!

Afisa elimu wa wilaya anaweza kumlipa ocd na ocs kisha akawalipa migambmn wa kituo kizima.

Anaanza kuishi kwa ujanja ujanza wa 10 per na kuuza uhamisho na vyeo.
Acha BANG3 na stori za kwenye vijiwe vya kahawa wewe. Mshahara wa DC ni milioni 3 na RC ni milioni 5, huyo Afisa Elimu wa Wilaya anawezaje kuwazidi hao ma boss wake?
 
Acha BANG3 na stori za kwenye vijiwe vya kahawa wewe. Mshahara wa DC ni milioni 3 na RC ni milioni 5, huyo Afisa Elimu wa Wilaya anawezaje kuwazidi hao ma boss wake?
Kwa sasa kuna ongezeko la 1m kwa kila mmoja hapo.

Mkuu wa Idara ana 3.5 basic take home ni around 2.8 hivi
 
Back
Top Bottom