Hivi huwa wanapandishwa vyeo ata kwa kusimama nyuma ya mtu kama Nyamburi alivyokuwa akifanya!! Mbona inashangaza sana.
Atarudishwa ofisini kuendelea na majukumu mengine akiwa amepanda cheo kwa kubeba mkoba na kusimama nyuma ya kiongozi wa juu wa Nchi.
HONGERA YAKE.
Atarudishwa ofisini kuendelea na majukumu mengine akiwa amepanda cheo kwa kubeba mkoba na kusimama nyuma ya kiongozi wa juu wa Nchi.
HONGERA YAKE.