misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kwanini?Huwez kutoka ADC ukawa CDF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Huwez kutoka ADC ukawa CDF
Wabongo kwa ujuaji ujuaji tu. Speculation kibao. Ndo maana nampenda maza anawapotezea na kuwachinjilia baharini.Panga pangua kusafisha (purge) inaendelea kwa waliokuwa wafanyakazi wa karibu wa Rais Ikulu mfano kina Petro Magoti, Zuhura Yunus, Felister Mdemu, Nehemia Mandia...
100%Mama anaendelea kupanga safu upya, amechoka kubambikiwa watu 'asowajua' vema.
Vv
Na mimi ndivyo nilivyomwelewa mleta uzi. Kwenye comment yangu nimekujibu wewe kuwa afande hajawekwa pembeni bali ameboreshewa maslahi.Mleta mada kasema kutokana na taratibu za kijeshi, cheo chake cha sasa hatakiwi kuwa mpambe badala atabadilishiwa majukumu.
Achana na Promoted(Cheo)Na mimi ndivyo nilivyomwelewa mleta uzi. Kwenye comment yangu nimekujibu wewe kuwa afande hajawekwa pembeni bali ameboreshewa maslahi.
Nimesema hivyo kulingana na jinsi nilivyomwelewa. Nilivyoelewa comment yako ni kuwa afande kaadhibiwa, ila mimi naona hiyo siyo adhabu bali ni pongezi. Amekuwa promoted!
Nipo sahihi mkuu?
Nikilijibu hili naweza nikaishia kudanganya!Achana na Promoted(Cheo)
Maslahi ni nini?
Unaweza ukawa na Cheo ila ukawa huna marupu rupu.
Anayesafiri sana na anayekaa nyumbani, nani anavuta maokoto sana.
Ebu piga hesabu tangu ashike huo wadhifa, katembea mara ngapi ng'ambo ambapo kila safari ina maokoto tofauti na salary.
Karibu na Mama bado nafasi nzuri hata uwe na cheo kidogo
Basi jua kuwa, anayesafiri anapata hela nyingi za safari tofauti na ambaye yupo nyumbani.Nikilijibu hili naweza nikaishia kudanganya!
1. Sijawahi kuwa sajenti sembuse brigedia Jenerali!
2. Sijawahi kusalimiana na Rais sembuse kusafiri naye!
Inatokana na maneno ya kifaransa AIDE DE CAMP, wakati wa Nyerere walikuwa ni Polisi.ADC si cheo mkuu ni protocol tu so amepanda toka col to brigadier general ataweza fika juu zaidi coz anaweza vushwa to General
Watu wa tukuyu kwa ujuwaji!Ndio maana kampandisha cheo ili akidhi vigezo
Umeshindwa kufungua code hapo
CDF Mwanamke yuko njian aises😀😀
pambe kwa kiingereza inaitwaje................mpambe ni niniMpambe
Is that within the acceptable procedure...KANALI TO BRIGADIER GENERAL au ni kuvunja ,kanuni , sheria , taratibu kama alivyozoeaAmiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
Mkuu, kama ulisahau nakukumbusha tu! Ukimpiga teke chura unamuongezea mwendo.Tulimsema humu kuwa tabasamu yake sio sawa kikazi.
Naona kawekwa pembeni kijanja.
Kila la kheri kwake kwenye majukumu yake mapya
Kwanini unahisi hivyo mkuu? Mambo mbona fureshi tu. Ondoa shaka kabisa.Kuna kitu hakiko sawa huko ndani ya jengo jeupe , kuna matobo mengi yazibwa , tuendelee kuomba uzima.
Kanda ya ziwa ni kubwa sana; wilaya ipi specifically.Kanda ya ziwa Vicky
Soma comment yangu sijazungumza habari ya cheo na majibu yangu sija google bosi wanguInatokana na maneno ya kifaransa AIDE DE CAMP, wakati wa Nyerere walikuwa ni Polisi.
Sio cheo, sio kk.mpambe tu wa Rais na sio ,body guard o body
Noted 10Nafahamu sio cheo! Mtu kuwa CDF lazima atoke kuwa Lt general(chief of staff) au Mkuu wa kamandi hususani jeshi la ardhini ambaye lazima awe(Major general) au msaidiz wake ambaye lazima awe(Bri general) au Mkuu wa operation na mafunzo jeshini ambaye lazima awe(Major general)
au msaidiz wake ambaye lazma awe ( Br general)
Note;Huwez ukawa CDF hujawahi kusimamia au kukaimu kamandi yoyote