Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 12,445
- 27,920
DGS mpya kaja na moto ana wachomoaKuna kitu hakiko sawa huko ndani ya jengo jeupe , kuna matobo mengi yazibwa , tuendelee kuomba uzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DGS mpya kaja na moto ana wachomoaKuna kitu hakiko sawa huko ndani ya jengo jeupe , kuna matobo mengi yazibwa , tuendelee kuomba uzima.
Kwahy hao wanaokuja kuanzia sasa anawajua vyema? Huyu mama hajui vitu vingi tuu vya nchi hii hasa tanganyikaMama anaendelea kupanga safu upya, amechoka kubambikiwa watu 'asowajua' vema.
Vv
Nafahamu sio cheo! Mtu kuwa CDF lazima atoke kuwa Lt general(chief of staff) au Mkuu wa kamandi hususani jeshi la ardhini ambaye lazima awe(Major general) au msaidiz wake ambaye lazima awe(Bri general) au Mkuu wa operation na mafunzo jeshini ambaye lazima awe(Major general)ADC si cheo mkuu ni protocol tu so amepanda toka col to brigadier general ataweza fika juu zaidi coz anaweza vushwa to General
Ndiyo anaandaliwa nini kuwa CDF? Kuna siku aligusia mwanamke kuwa CDFAmiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
View attachment 3051961
Atakosa maposho ya matripu lukuki ya mheshimiwa mama....Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
View attachment 3051961
Hiyo dp aisee! Kidumu chama tawalaCCM OYEEEEEE
CCM OYEEEEEE
CCM OYEEEEEE
CCM OYEEEEEE
CCM OYEEEEEE
CCM OYEEEEEE 😜😜😃😃
Mkuu usipagawe unatakiwa u relax. 😜😜😃Hiyo dp aisee! Kidumu chama tawala
Cheo cha nne kutoka juu baada ya Generali, Kisha Luteni Generali, anafuatia Meja Generali halafu ndio Brigedia Generali.Ila kala shavu kubwa sana brigedia general ni cheo kikubwa sana jeshini
Watoto kama hao watengenezewe masanamu postaMkuu usipagawe unatakiwa u relax. 😜😜😃
Huu uzi umejaa wajenerali wengi sana..Mzee ebu punguza sigara mtu hawez kuwa CDF hivhiv.Usitegemee kumuona mwanamke kwenye hiyo nafasi
A.k.a jeneral wa nyota mojaCheo cha nne kutoka juu baada ya Generali, Kisha Luteni Generali, anafuatia Meja Generali halafu ndio Brigedia Generali.
Sawa Kabisa! Halafu Bosi wao ni "A Four Star General"!A.k.a jeneral wa nyota moja
Sahihi kabisaCDF mpya anakuja
Yaan ni hivi :Cheo cha nne kutoka juu baada ya Generali, Kisha Luteni Generali, anafuatia Meja Generali halafu ndio Brigedia Generali.
Yaan ni hivi :
1. Generali⭐⭐⭐⭐
2. Luteni Generali⭐⭐⭐
3. Meja Generali⭐⭐
4. Brigedia Generali⭐