Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaha! Sawasawa Mwamba!Yaan ni hivi :
1. Generali
2. Luteni Generali
3. Meja Generali
4. Brigadia Generali
Kum-a haina ubaya bali matumizi kwa wanadamu ndiyo yamekuwa hafifu.Hiyo K inakuaga mbaya siku zote
Kwa ngazi hii anaweza kuongoza brigade maana yakeIla kala shavu kubwa sana brigedia general ni cheo kikubwa sana jeshini
Hakuna kitu hapoTembea uone wanawake wazuri wa sura sauti mpaka ku-ma 😃😜
Vita anaijuwa kweli huyu 😄Huyu mama alikuwa anapika chapati ikulu
Kutembea kwingi ndio kuona mengi. Bado hujatembea.Hakuna kitu hapo
Kutembea Wapi?Kutembea kwingi ndio kuona mengi. Bado hujatembea.
Mtaani, mikoani, nchi, na kadhalika.Kutembea Wapi?
Ni mtu wa wapi huyu mwanamke?Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
View attachment 3051961
MojaKwahiyo gari lake litakuwa na nyota ngapi? Kwa wenye kufahamu utaratibu. ...
Kanda ya ziwa VickyNi mtu wa wapi huyu mwanamke?
Zima dataMtaani, mikoani, nchi, na kadhalika.
Chaaaap, tunaleta ADC Mwana Mama kutoka ZenjAmiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
View attachment 3051961
Mama Samia kila alnayemzunguka anamtafutia namna ya kumuondoa. kudadekiAmiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
View attachment 3051961
Hajawekwa pembeni ni ameboreshewa maslahi!Tulimsema humu kuwa tabasamu yake sio sawa kikazi.
Naona kawekwa pembeni kijanja.
Kila la kheri kwake kwenye majukumu yake mapya
Mleta mada kasema kutokana na taratibu za kijeshi, cheo chake cha sasa hatakiwi kuwa mpambe badala yake atabadilishiwa majukumu.Hajawekwa pembeni ni ameboreshewa maslahi!
Itakuwa vizuri ili tuendelee kuweka Historia Afrika Mashariki:CDF mpya anakuja