TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Wazushi hamkai mbaliCDF mpya anakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazushi hamkai mbaliCDF mpya anakuja
Yeah anakuwa na gari ya jeshi yenye nyota moja mbele na akivaa kofia ya jango inakuwa na nyota moja mbele,anakuwa analindwa piaIla kala shavu kubwa sana brigedia general ni cheo kikubwa sana jeshini
Alisemaga siku moja msije mkaona ajabu ikitokea 😂😅🙏Ndio maana kampandisha cheo ili akidhi vigezo
Umeshindwa kufungua code hapo
CDF Mwanamke yuko njian aises😀😀
Uzushi mwema sio mbaya ila uzushi wa kudhalilisha watu ni mbaya na ni laana kubwa ambayo wazushi itawaandama maisha yao yote 😂😅🙏🙌👍Wazushi hamkai mbali
Tabasamu la Brig.gen linaniita balaaa VP kaolewa au bachela mwenzangu nitupie kete?
Yule sio mlinzi wewe.UsichanganyeTulimsema humu kuwa tabasamu yake sio sawa kikazi.
Naona kawekwa pembeni kijanja.
Kila la kheri kwake kwenye majukumu yake mapya
Labda na mimi mzee wa zamani nitakumbukwa hata kupewa kazi ya kusogeza mafaili mezani !Mama anaendelea kupanga safu upya, amechoka kubambikiwa watu 'asowajua' vema.
Vv
Muwe mnapitia hata mgbo tu kuelewa mambo ya Jeshi unafikiri mtu akiwa mwanajeshi huwa hapendi vyeo kama mgambo au sungusungu?Kuna kitu hakiko sawa huko ndani ya jengo jeupe , kuna matobo mengi yazibwa , tuendelee kuomba uzima.
Utendaji kazi mahala ulipoDuh haya, kwahiyo sasa ni Brigedia General.
Ina maana sasa JD yake ni ya Brigedia General, kipi kinapandisha cheo jeshini?
Cheo kikipanda na pension inapanda na mshahara unapanda kuna watu humu wachawi wakitaka abaki na cheo kile.kile na mshahara ule ule mama wa watuKwahio kamuondoa kimtindo?
Ndiyo kilichobaki!Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
Unawazungumzia walimu wa NDC?Wale walimu wanao wapa darasa maluteni G. wao wana cheo gani? Au lut. G ni vyeo vya kipromosheni?
The most decorated
Ulitaka aendelee kuwa ADC mpka lini? Mbona hata magu alimpandisha cheo yule aliye kuwa ADC wake na hatimaye akawekwa ADC mwingine.Perdiem za ng'ambo hata hicho cheo ni cha mtoto, uzuri Mama anapenda kukwea mwewe
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
Unapenda ku goggle ,kwahiyo unafikiri kuwa kila mtu ana goggle, mimi bichwa langu Lina ma content kibao, mimi ni academician.Soma comment yangu sijazungumza habari ya cheo na majibu yangu sija google bosi wangu
Mama kachafukwa sana , sijui nini kipo jikoniAmiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa BRIGEDIA JENERALI.
Kutokana na Brigedia Mashauri kupanda cheo, kwa taratibu za kijeshi hatokuwa tena Mpambe wa Rais. Atapangiwa majukumu mengine ya kijeshi.
Nilikwambia soma comment yangu sikusema ADC ni cheo ni protocol tu take note wewe ni academician Mimi mkulima ila bila bila njoo na hoja nyingine hapa utachemkaUnapenda ku goggle ,kwahiyo unafikiri kuwa kila mtu ana goggle, mimi bichwa langu Lina ma content kibao, mimi ni academician.
Nahisi wewe uli gogglee ili kujiridhisha, kifupi ADC ni mpambe na sio cheo Cha kijeshi.
Alisema atakuwa keCDF mpya anakuja
Nadhani wewe ulishachemka mapema kwenye andiko lakoNilikwambia soma comment yangu sikusema ADC ni cheo ni protocol tu take note wewe ni academician Mimi mkulima ila bila bila njoo na hoja nyingine hapa utachemka