Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Kaa kwa kutulia mkuu! It is slowly but surely, Mama hawezi akashughulikia maswala yote kwa siku moja lakini lazima Hii nchi inyooke! Sukuma gang yote outt, Miungu-watu wote lazima wawajibishwe
 
Sam , Kija na Simalenga inabidi tu irudishwe hela aliyowapa Sabaya na Sam ni wakulaumiwa kwani ndiye aliyemshawishi Sabaya afanye interview
 
Tuacheni siasa za kinafiki ambazo hazina tija kwenye jamii yetu. Kama mkuu wa nchi ambae unatakiwa kuleta ustawi wa jamii yetu unatakiwa usafishe kila kiongozi asiyefaa ili ulete ustawi wa jamii

Ok tuelezane ukweli bila kupepesa macho ni Sabaya pekee ambaye hafai?

Mbona wengi tu ambao hawafai. Ambao kama mkuu wa nchi unatakiwa uwaondoe mara moja.

Mfano, ondoa mkuu wa mkoa wa Mwanza huyu hafai kabisa maana ni ni kama doli tu. Na kibaraka wa kutetea uvunjifu wa haki za binadamu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya ondoa kabisa maana hafai na wala maelezo hayahitajiki.

Ondoa wote wasiofaa bila kufuata mbinyo wa kisiasa.
 
nisaidie kuhufadhi hii coment yangu.utakuha kuelewa mbeleni huko kwa sasa demka.
Hahahaha... Unachonifurahisha tu ni jinsi ambavyo sasa hivi umechukua nafasi ya Bavicha kuwa mpinzani wa Serikali ya CCM.
 
Usiwe na papara Mama amampenda kila Mtoto,aliyekosea atamwelekeza kadiri ya malezi ya Mama.
 

Dotto

Kakurwa

DPP

Polepole
 

Mkuu umeandika mengi mazuri tu, ila hapa hujatenda haki:

"Na wanaofurahia kusimamishwa kwake kazi ni wanachama wa CHADEMA."

Ukasahau kuwa wanaofurahia ni watanzania wazalendo. Wamo chadema na hata wasiokuwa Chadema, wengi tu.

Ukaenda mbele na kujitofautisha na hao unaowaita Chadema kwa kudai:

"Watu wenye upeo wa kufikiri tunajiuliza maswali mengi na machache kati ya hayo ni haya."

Kumbuka hakuna hati miliki ya kuwa na upeo wa kufikiri. Ndiyo maana waswahili walituasa kuwa "umdhaniaye siye, ndiye" na pia "ajidhaniaye kasimama na aangalie asije akaanguka."

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mzee Mgaya anasema unaposikia kiongozi fulani amesimamishwa kazi na Rais wa JMT basi elewa tuhuma hizo zimeshafanyiwa kazi na kinachoendelea ni taratibu za kisheria tu.

Rais ni taasisi, hivyo ana uwezo wa kupata taarifa zote anazozihitaji kwa wakati muafaka, anasema Mgaya.

Kuongea na vyombo vya habari wakati Takukuru wanakusubiri kwa mahojiano nayo ni aina fulani ya dharau na kiburi, anatoa angalizo mzee Mgaya.

Eid Mubarak!
 
MATAGA hapa hautawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…