Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Inaelekea mama hakurupuki wala hana jazba. Pamoja na kelele za watu mitandaoni yeye hatua zake ni za taratibu na za busara akijitofautisha na mtangulizi wake katika style ya kuwawajibisha wasaidizi wake ambapo anatumia njia za staha sana na kuheshimu watu hata kama wanatuhumiwa kufanya makosa
Hata kitendo ch kuchelewesha teuzi za ma DC na ma RC nadhani anajipa nafasi ya kuwafahamu vizuri waliopo na pia kuangalia waliokua nje ya hao ili ateuwe kwa umakini. Yaelekea hataki kuamini moja kwa moja orodha anayoletewa na hao wafanya vetting kwani wakati mwingine wanakua na interest zao
Tusubiri tuone
Hata kitendo ch kuchelewesha teuzi za ma DC na ma RC nadhani anajipa nafasi ya kuwafahamu vizuri waliopo na pia kuangalia waliokua nje ya hao ili ateuwe kwa umakini. Yaelekea hataki kuamini moja kwa moja orodha anayoletewa na hao wafanya vetting kwani wakati mwingine wanakua na interest zao
Tusubiri tuone