Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Labda aje kuishi huko dar, hapa ARUSHA hatutaki kumwona kwenye vijiwe vyetu vya CCM, labda atafte kanisa la kupoteza muda jioni
 
Mfano, ondoa mkuu wa mkoa wa Mwanza huyu hafai kabisa maana ni ni kama doli tu. Na kibaraka wa kutetea uvunjifu wa haki za binadamu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya ondoa kabisa maana hafai na wala maelezo hayahitajiki.
Unaweza kuweka na ushahidi jinsi hao viongozi wasivyofaa ili uwasaidie wafanya maamuzi wa taifa (Rais Mama Samia Hassan)?
 
Nimepata mda wa kuteta na mtu wa jikoni jioni ya leo.

Amenijulisha kwamba mechi hiyo iliahirishwa ili Simba wasipate majeruhi kuelekea mechi yao ya Club bingwa Africa.

Huyu mtonyaji amenipasha kuwa, interijesia ilionyesha kwamba endapo tu mechi ingechezwa Simba wangepata majeruhi.

Ni hayo tu.
Huo ni utabiri,au ni nini, hugo alijuaje kutakuwa na majeruhi, tuthibitishie uyasemayo. Vinginevyo sii habari ya kuaminika.
 
Kwahiyo walilijua kuhusu kupata majeraha masaa mawili kabla ya mechi
 
Tuacheni siasa za kinafiki ambazo hazina tija kwenye jamii yetu. Kama mkuu wa nchi ambae unatakiwa kuleta ustawi wa jamii yetu unatakiwa usafishe kila kiongozi asiyefaa ili ulete ustawi wa jamii

Ok tuelezane ukweli bila kupepesa macho ni Sabaya pekee ambaye hafai?

Mbona wengi tu ambao hawafai. Ambao kama mkuu wa nchi unatakiwa uwaondoe mara moja.

Mfano, ondoa mkuu wa mkoa wa Mwanza huyu hafai kabisa maana ni ni kama doli tu. Na kibaraka wa kutetea uvunjifu wa haki za binadamu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya ondoa kabisa maana hafai na wala maelezo hayahitajiki.

Ondoa wote wasiofaa bila kufuata mbinyo wa kisiasa.
Binafsi nilishakwambia wewe na sukuma gang wenzako kuwa Sabaya ataondoka na bado wenzenu wanafuata
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya anakosa gani labda? Kamteka nani? Kamkata mapema nani? Kamdhulumu nani au kanyanganya nini kwa watu?....damu ya nani inamlilia? Jamaa ni anafurahisha tu wala hana madhara....mimi nipo mbeya na sioni shida yake
 
Leo DC Sabaya kasimamishwa kupisha uchunguzi wa tuhuma lukuki ikiwemo matumizi mabaya ya ofisi kibaya zaidi kijana alikuwa juu ya RC wake; jeuri, mbabe haheshimu mtu

RC Hapi na Chalamila ni miongoni mwa na RC viburi, wababe hawaheshimu viongozi mawaziri wajuaji wa kila kitu: RC Hapi aliwahi kumchimba mkwara Rais mstaafu Anyamaze hivyo hivyo na Chalamila.

Kituko kingine cha ulevi wa madaraka chalamila amekuwa na kauli za kilevi, alianzisha uchapaji viboko,matamshi yasiyo na maadili kwenye umma na kuna wakati Makamu wa Rais akieleza hali ya marehemu JPM kuwa anachekiwa afya yake Chalamila alitoka hadharan kuwa ameongea na Rais Mzima wa Afya;
Dc Arusha kuchapa wananchi viboko ni matumizi mabaya madaraka
Leo hili la Sabaya liwe somo kwenu
 
Nimepata mda wa kuteta na mtu wa jikoni jioni ya leo.

Amenijulisha kwamba mechi hiyo iliahirishwa ili Simba wasipate majeruhi kuelekea mechi yao ya Club bingwa Africa.

Huyu mtonyaji amenipasha kuwa, interijesia ilionyesha kwamba endapo tu mechi ingechezwa Simba wangepata majeruhi.

Ni hayo tu.
Wewe lazima utakuwa Sabaya...

Hizi ni frustrations za kupigwa kibuti na mama yetu...
 
Unadonyoa kwa lipi?

Mkuu haiwezekani kuwa rafiki wa Mungu na Shetani muda huo huo.

Mbona wapo wengi waliofaa sana awamu ya tano lakini si ya sita. Mparamagamba anakuwa je pia kwenye serikali ya awamu ya sita?

Tuwahimize watu hao kwenda kujiajiri. Si lazima kusubiri kudonyolewa.
 
Unaweza kuweka na ushahidi jinsi hao viongozi wasivyofaa ili uwasaidie wafanya maamuzi wa taifa (Rais Mama Samia Hassan)?
We unaishi hapa Tanzania? Yule dereva aliyefariki Mbeya ulipata taarifa zake? Mwanza kituo cha polisi kirumba unafahamu habari zake? Watu wanauliwa na mkuu wa mkoa anajua sio wahalifu.
 
Back
Top Bottom