Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Tuacheni siasa za kinafiki ambazo hazina tija kwenye jamii yetu. Kama mkuu wa nchi ambae unatakiwa kuleta ustawi wa jamii yetu unatakiwa usafishe kila kiongozi asiyefaa ili ulete ustawi wa jamii

Ok tuelezane ukweli bila kupepesa macho ni Sabaya pekee ambaye hafai?

Mbona wengi tu ambao hawafai. Ambao kama mkuu wa nchi unatakiwa uwaondoe mara moja.

Mfano, ondoa mkuu wa mkoa wa Mwanza huyu hafai kabisa maana ni ni kama doli tu. Na kibaraka wa kutetea uvunjifu wa haki za binadamu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya ondoa kabisa maana hafai na wala maelezo hayahitajiki.

Ondoa wote wasiofaa bila kufuata mbinyo wa kisiasa.
Afuataye ni wewe!
 
Ole Sabaaya alikua mshenzi sana wa kutumia mamlaka yake na polisi, huyu jamaa kuna unyama mwingi sana amefanya kuliko huo unaowekwa wazi kwenye mitandao. Ana kitambulisho cha TISS ndio ngao yake kuu kutishia watu na kutapeli, amekigeuza kama ID ya kufanyia uhalifu, wamnyang'anye na afikishwe mbele ya kamati ya maadili ya utumishi.

Halafu kuna Ally Hapi, Dk Hamis Kigwangala na Kheri James, mama samia awaangalie kwa jicho la tatu. Hawafai na wana scandle nyingi sana huku uraiani.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021

Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014

jambazi hili ushahidi ni wazi ahsante Mungu
 
Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na mwendakuzimu marehemu dikiteta magufuli ni kitu kimoja.
 
Tuacheni siasa za kinafiki ambazo hazina tija kwenye jamii yetu. Kama mkuu wa nchi ambae unatakiwa kuleta ustawi wa jamii yetu unatakiwa usafishe kila kiongozi asiyefaa ili ulete ustawi wa jamii

Ok tuelezane ukweli bila kupepesa macho ni Sabaya pekee ambaye hafai?

Mbona wengi tu ambao hawafai. Ambao kama mkuu wa nchi unatakiwa uwaondoe mara moja.

Mfano, ondoa mkuu wa mkoa wa Mwanza huyu hafai kabisa maana ni ni kama doli tu. Na kibaraka wa kutetea uvunjifu wa haki za binadamu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya ondoa kabisa maana hafai na wala maelezo hayahitajiki.

Ondoa wote wasiofaa bila kufuata mbinyo wa kisiasa.
hii si kwa ajili ya kuwademsha chadema[emoji23][emoji23]

tulieni kwanza nao wafurahi.
 
Tumeanza na Sabaya

Tuendelee kuwataja wote wanaoharibu image ya utawala wa mama ili watumbuliwe.

Mimi naaanza na Ndungai huyu ndiye mtu nataka aondoke anaisababishia sana serikali hasara.

Na analeta mgawanyiko ndani ya utawala wa awamu ya 6.

Taja wote na uhuni waliofanya.
 
Bwana mdogo Sabaya Hakujifunza kwa pacha mwenzake Paul Makonda Baada ya kutumbuliwa kwake namna gani jamii ilimpokea.
Nilishangaa sana Juzi alipokuwa akihojiwa kwenye tawi la ccm ( clouds media) alikuwa anaongea mpaka anawapindukia watangazaji kama yuko sitting room alitamba zaid kiasi cha kum stopisha Kija kuwa asiwe na haraka yaani alikuwa na confidence ya hovyo sana.
Na ili nililitegemea maana malalamiko yalikuwa mengi mno juu yake.
Swala la kupisha uchunguzi dhidi yake ni kumtafutia sababu ya kumbananisha kwenye kona.


Mungu ni mwema siku zote.
kwani makonda kafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]

yuko insta huko anazurula na nissan v8 wala hana habari na mtu.
 
Back
Top Bottom