Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 209
Wewe una nini cha kuniambia mimi? Au huna chakula?Binafsi nilishakwambia wewe na sukuma gang wenzako kuwa Sabaya ataondoka na bado wenzenu wanafuata
Utaelewa tu na utajua kusoma mwaka huu lazima nyie sukuma gang kwenda zenu kulimaSijakusoma
Ee Mungu baba wa mbinguni, twakuomba utuhurumie.Vereee.... Anafaa kwa matumizi
Gesti zitajaa...Mama Samia ametupa Furaha ya IDDI elFitiri
View attachment 1783577
Fyakeleeeeeea mbali pumba zooteWewe una nini cha kuniambia mimi? Au huna chakula?
Unataka wangapi we kademu?[emoji121]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unataka wangapi we kademu?
Clouds wameshtukiwa na propaganda sa kumsafisha mkubwa huyo.Kwahiyo tuseme Clouds tv wamekula hela ya bure...
Mmechanganyikiwa nyinyi msiojua samia alikuwa makamu wa magufuli.Unasema Hujawaji na Hutawahi kuipinga serikali?
Wewe si kila siku hapa Unapingana na Serikali ya Mama!!!
Kweli Mataga mmechanganyikiwa. Hamjui lipi mshike lipi muache
Hizi sampuli zipo nyingi kwa Hayas, Luo, na mmasai(waarusha)Dark skin not for you?
Shika mwenyewe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shikamoo babu.
Mimi siyo Mskuma wewe . acha kubahatisha watuhahaha,,wasukuma mtauwa mtu safari hii, mmechefukwa of course
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shika mwenyewe...
Umenidhi sana leo...
Mama alisema ataunda timu yake ambayo haijalishi wewe ni mwana CCM au upinzani.Wa sampuli yake watafyata mikia... Mama anawachomoa mdogo mdogo IYKYK[emoji3577]
wacha watu waendelee kudemka na bimkubwa.Kuna picha alizitoa kigogo za bi mdashi na DAB daah inaonyesha hawakukutana barabarani.