Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Wanafiki ni nyie msiojua hata mmnachoshabikia

Kutengua na kuteua ni kazi ya Rais, tuliona Lowasa na lugola wakitenguliwa sembuse sabaya🤣

Hii ndio CCM babalao....nyie endeleeni kudemka tuu, wacha ironlady awapeleke kasi
Kweli mashangingi wa ccm ni hatari ! wewe leo ni wa kumtelekeza sabaya kweli ?
 
Ni muujiza kuweza kuelewana na yule Mungu mtu. Kwa imani ya mama na ubinadamu asingeweza kukubaliana na udhalimu. Ndiyo maana kulikuwa na three attempts. Niishie hapa
 
Kweli mashangingi wa ccm ni hatari ! wewe leo ni wa kumtelekeza sabaya kweli ?

Lini nilishakua nae hadi iwe nimemtelekeza🙄🙄🙄
Kwao CCM ni chama kwanza.... sio kule Chadema pesa na mbowe kwanza
Ndio mjifunze hapa
 
Amina ....Mungu ametufuta machozi
 
Tunahitaji heshima na busara za uongozi zirudishwe kama inavyopaswa.
Asante sana Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
 
What a beautiful news!!!!
Mungu anaendelea kusafisha SUKUMA GANG
Good news ingekuwa kutenguliwa lakini kusimamishwa ni sawa na kutafutiwa njia ya kusafishwa tu halafu baadae ateuliwe kuwa RC
 
Mama yetu kipenzi hapa unatufanya tunasherehekea Eid kwa shangwe zote. Huku Arusha kumelipuka kwa furaha. Mama hapa tunakupa miaka yako 20 ya kuiongoza Tanzania.
Mimi naomba ikiwapendeza watanzania tumpe wa milele kabisa mpaka aseme umri hautaki tena. Kutoka sakafu ya moyo wangu. Kwanza yuko neutral kiukabila na kikanda hivyo atatufaa mno kusafisha ile sumu ya ukabila na ukanda iliyopandikizwa na kutugawa.

Mungu ni fundi kamili kabisa.
 
Unaweza kufungua mashtaka ili umnasua na uonevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…