MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Ni Hulka ya Kina Mama, Hao hao WatambadilikiaHuyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Mama Samia aongezewe muda wa uraisi hata kama hatotaka
Mimi angalao picha nitaweka home. Tena kuna mtu ananiwekea kwenye frame ya heshima. Ni picha ya kwanza ya Rais kuwa nyumbani kwangu. Nitaunganisha na ya baba wa Taifa ili wawe wawili.Huyu mama ajengewe sanamu yake pale njia panda ya kwenda West Kilimanjaro kumuenzi
Mnaandamana matusi mkipigwa za uso mnaloloma.Usimpangie Rais mpuuzi wewe
Mimi angalao picha nitaweka home. Tena kuna mtu ananiwekea kwenye frame ya heshima. Ni picha ya kwanza ya Rais kuwa nyumbani kwangu. Nitaunganisha na ya baba wa Taifa ili wawe wawili.Huyu mama ajengewe sanamu yake pale njia panda ya kwenda West Kilimanjaro kumuenzi
Mkuu nacheka mno. Huyo atajikojolea kitandani ukubwani. 🤣🤣🤣🤣Amka. Utakojoa kitandani
MATAGA mtataga Mayai ya kila rangi. Huyu mama ndiye Rais na siyo Dikteta wa kuzalisha na kufuga madikteta uchwara. Akanyeeee debe kwanza.Sabaya amesimamishwa kazi sababu ya tuhuma. Na wanaofurahia kusimamishwa kwake kazi ni wanachama wa CHADEMA. Watu wenye upeo wa kufikiri tunajiuliza maswali mengi na machache kati ya hayo ni haya :
1- tuhuma zinazomkabili Sabaya sio za leo wala jana, ni tuhuma za kuanzia mwaka jana kurudi nyuma. Sasa je, wakati Sabaya anatuhumiwa, huyu Madam SSH yeye hakuwa Makamu wa Rais? Alichukua hatua zipi dhidi ya Sabaya kwa nafasi aliyokuwa nayo?
2- Madam SSH akisema kipindi hicho hakuwa na sauti, Je, sasa hivi akiwa kama Rais yuko tayari kuchukua hatua dhidi ya kila tuhuma zilizokuwa zikielekezwa kwa viongozi au Serikali anayoiongoza sasa hivi?
Hata chama chake CCM kinatuhumiwa sana kwa udanganyifu na wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Je, Madam SSH yuko tayari kufanyia kazi hizo tuhuma kwa kuruhusu uchunguzi huru dhidi ya chama chake na ikiwa itathibitika kuwa kweli waliiba kura, Je, atakuwa tayari kujiuzulu na kupisha uchaguzi mwingine ufanyike?
3- Spika wa Bunge, Job Ndugai anatuhumiwa sana kuisigina katiba ya nchi, Je, Madam SSH yuko tayari kulivunja Bunge na kuitisha uchaguzi mwingine maana mamlaka hayo anayo.
4- Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatuhumiwa kudhulumu haki za kuishi za baadhi ya watu, Je, Madam SSH yupo tayari kupisha uchunguzi huru dhidi ya Makonda?
5- Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kuhusika na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu, Je, Madam SSH yupo tayari kuruhu FBI wafanye uchunguzi wao kama walivyotaka kufanya baada ya tukio na kuzuiliwa?
Ikiwa Madam anasikiliza tuhuma za mitandaoni, Je, sio sahihi kwa yeye kusikiliza na kuchukua maamuzi dhidi ya tuhuma hizo nilizoziainisha hapo juu??
Na hapo sijataja tuhuma za utekaji watu, kupotea kwa baadhi ya watu kama Azory n.k.
Au Watanzania mnapenda sana kushabikia vitu pasipo kufikiri kwa kina? Hamjui kwamba wanasiasa wote wamejaa unafiki?
Madam SSH yeye siyo MALAIKA, yeye ni Mwanadamu tena mwanasiasa. Hana tofauti na aina za wanasiasa tuwajuao.
Mimi pia sijawahi ila huyu mama akiendelea hivi... mwili ni dhaifu ila roho ni nyepesi..Mie hata iweje siwezi wapa kura ccm...never...kwanza sijawahi
Ameumiza wengi mno ambao siyo Wapinzani. Mimi hapa niko na FURAHA Tele na siyo Mpinzani.huyo kiongozi zaidi kachukiwa na wapinzani kwa sehemu kubwa na wapinzani siku zote hawajawahi mkubali mtu ambae ni mwiba kwao hata kama anasimamia sheria
Tuchunguze mpaka vyeti vyakeMASACHUSETS UNIVERSITY ndiyo ipi hiyo?
Jokate anapiga kazi nzuri apewe Mkoa wa Mbeya
Ally hapi anaenda na majiAu Iringa Mkuu kwa yule mhuni mwingine Ally Hapi.
You are the only one saying so and seeking for everyone's approval, let's see who agrees....He is good looking though.
Who agrees?
Sasa sabaya yeye Nandy alikua ana mtaka wa nn? Ambake au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNi nandi
Kumbe Nandy[emoji23][emoji23][emoji23]Hata sijui ni nani
Hiyo clip uliyopost, huyo baba kasema kuna mteja alifika hotelini kwake, ambaye ni msanii mkubwa hapa Tz, sasa alikua anahitajika na sabaya, hadi kufikia kuleta fujo,
Huyo msanii ni nani na jinsia gani. Nahitaji kujuzwa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kumbe Nandy, [emoji23][emoji23]Hata mimi simfahamu.