Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Mungu gusa moyo wa huyu mama akubali. Binafsi nitampigia kampeni kwa gharama ZANGU just akikubali kutuongoza mpaka aseme basi yatosha. Yaani huyu ndiyo our Majesty the Queen of Tanzania.
Mama Samia aongezewe muda wa uraisi hata kama hatotaka
 
Huyu mama ajengewe sanamu yake pale njia panda ya kwenda West Kilimanjaro kumuenzi
Mimi angalao picha nitaweka home. Tena kuna mtu ananiwekea kwenye frame ya heshima. Ni picha ya kwanza ya Rais kuwa nyumbani kwangu. Nitaunganisha na ya baba wa Taifa ili wawe wawili.
 
Usimpangie Rais mpuuzi wewe
Mnaandamana matusi mkipigwa za uso mnaloloma.
We kima blue unamuita nani mpuuzi kenge wewe.
Unaweza kulishwa we na ukoo wako mzima miaka 10 na wewe ukichimbuliwa mtaro tu.
Panya
 
Huyu mama ajengewe sanamu yake pale njia panda ya kwenda West Kilimanjaro kumuenzi
Mimi angalao picha nitaweka home. Tena kuna mtu ananiwekea kwenye frame ya heshima. Ni picha ya kwanza ya Rais kuwa nyumbani kwangu. Nitaunganisha na ya baba wa Taifa ili wawe wawili.
Amka. Utakojoa kitandani
Mkuu nacheka mno. Huyo atajikojolea kitandani ukubwani. 🤣🤣🤣🤣
 
Sabaya amesimamishwa kazi sababu ya tuhuma. Na wanaofurahia kusimamishwa kwake kazi ni wanachama wa CHADEMA. Watu wenye upeo wa kufikiri tunajiuliza maswali mengi na machache kati ya hayo ni haya :
1- tuhuma zinazomkabili Sabaya sio za leo wala jana, ni tuhuma za kuanzia mwaka jana kurudi nyuma. Sasa je, wakati Sabaya anatuhumiwa, huyu Madam SSH yeye hakuwa Makamu wa Rais? Alichukua hatua zipi dhidi ya Sabaya kwa nafasi aliyokuwa nayo?
2- Madam SSH akisema kipindi hicho hakuwa na sauti, Je, sasa hivi akiwa kama Rais yuko tayari kuchukua hatua dhidi ya kila tuhuma zilizokuwa zikielekezwa kwa viongozi au Serikali anayoiongoza sasa hivi?
Hata chama chake CCM kinatuhumiwa sana kwa udanganyifu na wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Je, Madam SSH yuko tayari kufanyia kazi hizo tuhuma kwa kuruhusu uchunguzi huru dhidi ya chama chake na ikiwa itathibitika kuwa kweli waliiba kura, Je, atakuwa tayari kujiuzulu na kupisha uchaguzi mwingine ufanyike?
3- Spika wa Bunge, Job Ndugai anatuhumiwa sana kuisigina katiba ya nchi, Je, Madam SSH yuko tayari kulivunja Bunge na kuitisha uchaguzi mwingine maana mamlaka hayo anayo.
4- Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatuhumiwa kudhulumu haki za kuishi za baadhi ya watu, Je, Madam SSH yupo tayari kupisha uchunguzi huru dhidi ya Makonda?
5- Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kuhusika na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu, Je, Madam SSH yupo tayari kuruhu FBI wafanye uchunguzi wao kama walivyotaka kufanya baada ya tukio na kuzuiliwa?
Ikiwa Madam anasikiliza tuhuma za mitandaoni, Je, sio sahihi kwa yeye kusikiliza na kuchukua maamuzi dhidi ya tuhuma hizo nilizoziainisha hapo juu??

Na hapo sijataja tuhuma za utekaji watu, kupotea kwa baadhi ya watu kama Azory n.k.
Au Watanzania mnapenda sana kushabikia vitu pasipo kufikiri kwa kina? Hamjui kwamba wanasiasa wote wamejaa unafiki?
Madam SSH yeye siyo MALAIKA, yeye ni Mwanadamu tena mwanasiasa. Hana tofauti na aina za wanasiasa tuwajuao.
MATAGA mtataga Mayai ya kila rangi. Huyu mama ndiye Rais na siyo Dikteta wa kuzalisha na kufuga madikteta uchwara. Akanyeeee debe kwanza.
 
huyo kiongozi zaidi kachukiwa na wapinzani kwa sehemu kubwa na wapinzani siku zote hawajawahi mkubali mtu ambae ni mwiba kwao hata kama anasimamia sheria
Ameumiza wengi mno ambao siyo Wapinzani. Mimi hapa niko na FURAHA Tele na siyo Mpinzani.
 
Kichapo kinamuhusu huyu akitoka wahun hawajawahi muacha salama na ubabe wake
 
Kamati yote ya ulinzi na usalama wilaya ya hai hafai mama ondoa wote ni majambazi
 
Back
Top Bottom