Amemsimamisha kupisha uchunguzi, hajamfukuza kazi. Kuna ubaya kuchunguza tuhuma za kiongozi wa umma? Unadhani Rais hana vyanzo vyake vya taarifa?
But why?... kuna nini kinaendelea?
Kwa ufupi jamaa alijisahau
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
His skin color thouπHe is good looking though.
Who agrees?
Hamchelewi kuanzisha story za kunyegeshana humu haswa mkiona uzi unakuwa na traffic kubwa, sijui huwa mnawinda kitu gani.He is good looking though.
Who agrees?
Tumsagie kunguni nayeye aliwe kichwaSafi mama bado na yule RC wa Mbeya
Bado kuna yule polisi alimwambia Mbowe kuwa hushindiKila lenye mwanzo halikosi mwisho
Tungua Konyagi kubwa Mwanawane nakuja kulipaKila lenye mwanzo halikosi mwisho
Yule Wa Mbeya ni chizi maarifa,Safi mama bado na yule RC wa Mbeya
Huna ujualo mkuu kaa kwa kutulia mjomba wa sabaya weweHuyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
overconfidence makes you careless.Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Huna akili hata kidogo.kwani samia anaishi ndani ya kibuyu kiasi kwamba hana analosikia au kuona kwa macho yake? Hilo bichwa tumia kufikiri siyo kufugia nywele.Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!