Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Amemsimamisha kupisha uchunguzi, hajamfukuza kazi. Kuna ubaya kuchunguza tuhuma za kiongozi wa umma? Unadhani Rais hana vyanzo vyake vya taarifa?
Yaani maovu yaendelee na Rais ashindwe kufanya lolote akihofia kufanya hivyo ni kuonekana anawa please watu wa mitandaoni? Eti?