Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais wa Tanzania Samia Suluhu, amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai ndugu Ole Sabaya.

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
Hili limefanyika kabla ya Eid,kweli mama amechukizwa na kusumbuliwa kwa wafanyabiashara wake
 
Chanzo cha habari [emoji848]
View attachment 1783578Rais wa Tanzania Samia Suluhu, amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai ndugu Ole Sabaya.

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
 
Yaani huyu mama anajua kumalizia sikukuu yangu vizuri kweli, hela sina Ila napata raha tu.

Walikuja kumsafisha humu tukawaambia katika mambo aliyobugi ni kufanya ile interview ya clouds, pale amemchokonoa pweza aisee. Mama akikaa kimya anatafuta namna ya kumuondoa kimya Ila amemlazimisha mama amuondoe kwa kashfa akazijibu.

Meaning ameshtakiwa kiuongozi aisee hii sio kutenguliwa amefukuzwa kwa kashfa. Ameharibu CV.

Sasa waliokuwa wanamtetea wakamsaidie kujibu tuhuma. Kenge wakubwa
 
Huyu alikuwa wa kumfukuza kazi kisha kukusanya udhahidi dhidi ya maovu yake mbali mbali ya kupora watu, kuwadhalilisha kwa namna mbali mbaliu, kuwalawiti na kuwajeruhi nadhani pia kuna tuhuma za mauaji dhidi ya huyo dhalimu.
Wakimfukuza wanakuwa wamemhukumu na hivyo kupata escape route, lengo la kumsimamisha ni ili kumkondesha kwanza, na aonyeshe network yake yote na hatimaye ajinyonge, mwenyewe
 
Amesimamishwa kupisha Uchunguzi daadeki😂
dance.gif
 
Ole Sabaya alikuwa Mungu mtu, alijifanya anajua kila kitu, ualimu yeye, udaktar yeye, u fanya biashara yeye, tajir yeye, usalama wa taifa yeye, fitina yeye. Alikuwa mtu hatar kuliko wote Kilimanjaro asiyeogopa kitu chochote na kiongoz yeyote.

Namshukuru MAMA, Rais wangu Samia hatuna cha kukupa nakuombea kwa Mungu akulinde na akupe busara uendelee kukupa hekima. Tumepoteza Ndugu zetu kwa sababu ya Ole Sabaya, Ndugu zetu wameumizwa mno na Ole Sabaya.
 
Back
Top Bottom