Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Genge la chato akili zenu bana
Kwa hiyo unasema rais hana vyanzo vya habari kuyajua majambazi?
 
Mlikua wapi kumkemea hiyo October mwaka jana?

Mlikua busy kusherekea ushindi wa mezani!

Peleka unafiki huko Lumumba !
images (1).jpeg
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!

Hadi lile genge lote la kabila letu pendwa lisambaratike lote. Kwani hamjijui?
 
Dc sabaya ni mwiba kwa ufisadi na kada mzuri wa ccm. Kutokana na uongozi wake hai ccm iliweza kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi uliyopita ubunge na udiwani.
Kumsimamisha eti kwa uchunguzi ni kufanyia kazi madai ya uzushi ya wapinzani. Hili linaleta wasiwadi mkubwa kama kweli mama anafuata njia ya kimapinduzi ya jpm au anasikiliza kelele na uzushi wa maliberali vibaraka wa ubeberu.
Kama uko nae hapo bar amekuagizia bia basi acha kunywa sepa haraka.. Hawezi kulipia hiyo bia sababu ya mawazo.

Pole
 
Saa hizi anacheka tu, natamani nipate connection ya WhatsApp group ya CCM nione wanavyokorogana saa hizi

Nyie nanyi mnajitekenya na kucheka wewenyewe heheheeee

Alitumbuliwa Lowasa akiwa waziri, wakatumbuliwa mawaziri kina Lugola mkuu sembuse mkuu wa wilaya Sabaya🙄🙄

Hiyo ndio CCM baba lao
 
Mbona huko clouds alisema ana miaka 35 na hapa kwenye CV kazaliwa 1980
Miaka 35 ni sahihi ,kipind anasoma Ikizu sekondari akiwa form four mi nilikuwa form one mwaka 2006...jamaa alikuwa mbabe Sana , alikuwa na kundi la wannyanyua vyuma , yeye alikuwa wa mwisho kuingia dining hall na kundi lake na haiwezekani kuruhusiwa Kula bila yeye na kundi lake hawajafika , ni mtu wa system pia , Baba yake by that time alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Serengeti kama sikosei
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021

Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014

Thanks mama,wewe ni kitu kimoja na mwendazake ila sio sawa sawa na mwendazake,hii uwe mwazo wa funzo KWA wateule wote na vijana kwamba ofis ni dhamana Kuna leo na kesho,THANKS MAMA
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
CCM wanajua Watanzania wengi wamejeruhiwa na Mwendazake, kilichopo saizi wanawaponya majeraha...2025 wanakuja na gia nyingine.

Kwa Hali hii ccm itatawala miaka mingi ijayo, maana wanajua kula na vipofu.
 
Hahahahahahaha lol! Waambie waangalie wasiuvae mkenge kwani kama wana uraia wa huko waliko basi wasije kulizwa.
Mimi nimeanza Kunywa tokea Asubuhi kuna Mabest wangu Wamerejea kutika Ughaibuni wamekuja Kuwekeza Nchini kwao.

Hizi habari zimetufanya tulipuke kwa furaha shangwe na Vigelegele
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Ni Jambo kua na rais anayesikiliza,

Mama katumia busara Sana, kasema kasimamishwa kupisha uchunguzi.

Hajafukuzwa, atafukuzwa zikithibitishwa tuhuma zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom