Avumaye baharini papa, kumbe wengine wapo. Kama yaliyokuwa yanasemwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii ni ya kweli, kumsimamisha tu kazi hakutoshi, inabidi apelekwe mahakamani akajibu tuhuma zinazomkabili.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ameshutumu vikali kitendo kilichofanywa na vijana wahuni wanaodaiwa kukodiwa na kuushambulia kwa mawe msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu. Mkuu huyo wa mkoa alitoa kauli hiyo wakati akimjibu Mkuu wa KKKT dayosisi ya Kaskazini Askofu Shoo...
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa...
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...
Wanaosema mama asipewe pressure ni kwasababu maamuzi yoyote atakayoyafanya yana impact kubwa kwa taifa,, hivyo subira na umakini vinahitajika.
Fikiria uteuzi wa yule jaji ulivyolalamikiwa. Lakini naamini mama anafanya moves zenye umakini kuliko baadhi wanavyodhani.
Kwenye football kuna wakati mpira wa kushambulia unaurudisha nyuma kabisa kwa kipa ili kupanga mashambulizi upya.
Ana dharau sana huyu dogo
Juzi kwenye clouds alimkebehi sana Mbowe eti 'alizaliwa 1961 umri sawa na mamake '
Utaishi kwa shida sana utazeeka kumzidi Mh Mbowe
Shida wengi wao huwa wanajisahau sana kuwa haya mambo ni ya ulimwengu. Ishi vizuri na watu heshimu wakubwa na wadogo.
Leo Sabaya umedhalilika
Pesa hainunui kila kitu
Umeiba umepora umenyasasa hizo pesa hutazifurahia
Kiama kiko hapa duniani....
Wengine mliobakia muanze kutia maji
Kelele za mitandao kiko wapi?
Kila mtu abebe msalaba wake
Serikali ya Magufuli ilijaa viongozi-vibaka kila kona.Imagine huyu jamaa alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Hai ila alikuwa anaenda kulawiti hadi Arusha huko.
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Wanaochunguza na kupata taarifa za maovu mbalimbali ndio hao wanaoleta taarifa mitandaoni labda uwakataze hao, wakati mwingine wala ahitaji uchunguze matamshi yako na matendo yako yanaonekana wazi, mfno yule aliyesema "Maaskofu wafunge midomo yao" hivi unahitaji uchunguzi kujua kuwa huyo kijana anautovu wa nidhamu.
Kama uchunguzi utafanyika huru bila kuingiliwa kesi za kila namna zitamhusu. Atafunguliwa kesi hata 100. Hatapona. Na ndiyo mtego ulipo. Na hiyo kamati ya uchunguzi ijiangalie vizuri maana mama atakuwa na data zote za ukweli. Wakipindisha watakiona cha moto
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ameshutumu vikali kitendo kilichofanywa na vijana wahuni wanaodaiwa kukodiwa na kuushambulia kwa mawe msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu. Mkuu huyo wa mkoa alitoa kauli hiyo wakati akimjibu Mkuu wa KKKT dayosisi ya Kaskazini Askofu Shoo...
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa...
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...
Hamna siri dunia hii. Ukweli usemwe hivyohivyo ulivyo
Uwizi, uhuni, ubabe vyote visemwe kama vilivyo.
Huwa inatokea wengne wakifanya mambo ya kijinga, ya ovyo, ya kihuni, ya kibabe na nk haiandikwi au kutangazwa au kuonekana kama mambo yasiyofaa. Lakin wakifanyiwa wao sasaaaa, dunia nzima itajua. Utafikiri wao ndo binadamu wengine nusu binadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.