Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Hivi kuna binadamu ambae anamwamini Mungu na anaakili timamu anaweza kumtetea Sabaya??? [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Tanzania kuna watu wawili usiwaguse kwa ubaya. Kama utawaonea jua utapotea na utachukiwa na kila mtu ukigombana na hao watu hata kama wao hawatakujibu ila wana nguvu ya asili ya kushinda vita (psychic ability to win every obstacles) na watu hao ni Askofu Gwajima na Freeman Aikaeli Mbowe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ngoja na mm nifuatilie ulichokisema
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana...
Yaani sasha ajifunze haraka. Ccm ni chama cha mapinduzi. Sabaya ni mwanamapinduzi. Ukicheza na chadema utakula mabua...hao ni nyani.
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana...
Pole zako wewe..

Hata hujui kutofautisha kati ya SIASA na UHARAMIA WA KIDOLA kwa kivuli cha "kuvunja ngome ya kisiasa ya CHADEMA"

Sabaya is a criminal. He deserves to be in a concrete prison...
 
MPE heshima yake.Anza na Mhes Rais,usimtaje kama ulivyomzoea sabaya kijiweni.
Hata kama hupendi ni haki take kumpa heshima.
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana....
Hivi siku hizi hakuna ule mpangp wa elimu ya watu wazima? Ilifaa sana ungejiunga huko. Ukajifunza japo kuandika, kuhesabu na kusoma.

Kwenye jukwaa hili ungetumia zaidi muda wako kusoma maoni ua wenye uelewa.
 
Inaonyesha hujui jinsi nchi ilivyoharibiwa kisiasa wala hujui kuwa hata sisi ccm tulikuwa tumeanza kuona aibu kwa jinsi uharamia ulivyokuwa ukitumika eti kwa maslai ya Chama.Msingi mkubwa wa chama chetu ni utu wa mwafrika na heshima yake sio uhuni.Mwacheni mama afanye kazi
PIA yeye na aina yake wanahitaji kuombewa, ili shetani walieachiwa na mungu wao MWENDAZAKE, awatoke.
Wawe watu wapya wenye utu, upendo na wanaothamini haki za watz wengine.
AMEN
 
Wewe ni jambazi, huo ni mwanzo. Mwisho wako bado. Kuna mahali panapokufaa .

Unajifanya una akili sana kwa kufungua ID nyingi ili ionekane kuna wanaokulilia. Huo ujinga unawaokota wajinga wenzako.
 
IMG-20210515-WA0173.jpg
 
Jipige jipige sema Mimi ni mpumbavu

Sabaya ameteka, ameua na ushahidi uko wazi.

Hivi unapata wapi ujasiri wa kumtetea huyu jambazi?


Ona aibu kidogo.
Ameua kuzidi lema na mbowe?
Acha utani basi au kwa kua yeye alikua kwenye dola?
 
Uchunguzi ukiisha apewe umwenyekiti wa ccm wilaya ya hai ili awaweze vizuri chadema.
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana...
Ulaaniwe shetani wewe.
 
Yaani mnazidi kuongeza mbinu zakumchunguza,si msubiri taarifa then mkamtetee.Pia mjifunze kuheshimu neno uchunguzi watuhuma ambazo ni siri ya dondoo za mamlaka iliyomteua.
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana...
Wahenga walisema " mtasema kwa lugha"
 
Nipo kwenye magroup mengi ya WhatsApp na Facebook nimeona wanaccm wengi sana zaidi ya asilimia 80% walivyochukizwa na kitendo cha Ole Sabaya kusimamishwa na kukiita usalaliti kwa chama, Chadema siwezi kuwalaumu kwa furaha walionayo sasa maana Sabaya aliwaweza sana...
Mbio zake za kuwafurahisha chadema zitakigharimu chama tawala
 
Hivi kuna binadamu ambae anamwamini Mungu na anaakili timamu anaweza kumtetea Sabaya??? [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Mungu alivyo na maajabu,mtu mnayemtenga na kudhani hafai,kupitia huyo watu mnajichumia laana.

mwanzo 4:11-12 halafu 13-14.
maana yake,
kama Mungu ana ugomvi na binaadam msijihusishe na ugomvi huo,na kama mna ugomvi na binaadam,msimhusishe yeye na ugomvi wenu.
 
Back
Top Bottom