Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Nani kakubishia hayo?!!

Nimesema ukulima hauna maana?!!

Afya haina maana ?!![emoji15][emoji15][emoji15]

Mbona "generalization" mpwa ?!!!

Karibu wanzuki hapa ubandani kwa mama Lily[emoji120]
NImekupanua mawazo mpya. Asante, wanzuki ni moja ya pombe zake.
 
Unayatazama mambo juujuu na unavyodhani wewe,kagame asingemkataa sefue,ujasusi siyo bunduki,ngumu na sumu tu,upo Karne ya 20 bado
 
Hakika hatutatoboa🤔
 
Unayatazama mambo juujuu na unavyodhani wewe,kagame asingemkataa sefue,ujasusi siyo bunduki,ngumu na sumu tu,upo Karne ya 20 bado
Ubishi wako tu. Mwaka huu Norway imefukuza wanadiplomasia 15 wa Urusi kwa tuhuma za ujasusi, balozi wao hayumo. Sweden imefukuza watano na balozi wao hahusiki. Netherlands na Austria vilevile wamefukuza majasusi diplomats na mabalozi wamebaki.
Mwaka jana Latvia imefukuza wanadiplomasia 35 wa Urusi na balozi wamembakiza.

Narudia kusema balozi hana umuhimu huo kwenye spying pale nchi aliyopangiwa. Hana umuhimu kwenye hizo kazi yeye amekaa kisiasa na kidiplomasia hata awe ndio mkurugenzi mwenyewe wa shirika.
Rwanda kumkataa Sefue sio kumuogopa mnakuza mambo ya kitoto. Kwani ni nchi gani jirani haijui kwamba inachunguzwa na jirani yake.

Kwa hivyo na hapa mnataka kusema Samia alimuogopa Diwani na akamuogopa pia huyu aliyemuondoa leo? Yani Sefue aogopwe na Kagame? Kwamba Sefue ana bajeti, jeshi, ushawishi, ulinzi, umaarufu kumzidi Kagame pale Rwanda au kitu gani. Au ajabu lipi Sefue angefanya pale Rwanda, au ziletwe missions za NISS na za TISS za kwenye 2010s mpaka leo uone Rwanda ina sababu gani za kuogopa balozi jasusi kutoka Tanzania.
 
Ubishi wako tu. Mwaka huu Norway imefukuza wanadiplomasia 15 wa Urusi kwa tuhuma za ujasusi, balozi wao hayumo. Sweden imefukuza watano na balozi wao hahusiki. Netherlands na Austria vilevile wamefukuza majasusi diplomats na mabalozi wamebaki.
Sasa kama tunauwezo wote huu kwanini sisi bado masikini na rushwa imetamalaki plus wizi wa Mali ya umma. Ila nyie jamaa kama wale wadada Tako kuuubwa na uchi nao barabara 6 ways
 
Umewaza mbali mkuu, wakati nasoma wasifu wake pale juu nimeingiwa na mashaka yasio kidogo na huyu bosi mpya!
Tutatoboa kweli?
 
Labda sheria bado haijasahiniwa na rais .
 
Kagame alimkatalia nini mzee ombeni sefue kuwa balozi!?..ujuaye tuambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…