Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Vyeo vyao vimekaa hivi:

Wale wasiokuwa na nyota mabegani;

PRIVATE ngazi ya kwanza kabisa; havai cheo chochote begani wala mkononi
LANCE COPLO- Ana "V" moja kwenye kwapa la mkono wa shati lake
COPLO- "V" mbili
SERGENT-"V" tatu
STAFF SERGENT-V" tatu pamoja na ngao ya bibi na bwana
SIR MAJOR AU WARRANT OFFICER II- Ana KOROKORO lina alama ya mwennge ukiwa umezungukwa na maua nadhani; huwa analivaa kwenye mkono wake wa kulia kama saa pamoja na fimbo

REGIMENTAL SIR MAJOR (RSM) AU WARRANT OFFICER I-ana KOROKORO lenye NGAO YA BIBI NA BWANA PAMOJA NA FIMBO.
Huyu huwa aneuliwa na Rais na huwa anakuwepo mmoja tu katika kila kikosi. Ni cheo kingine ambacho JWTZ wanakithamini sana mithili ya wanavyothamini cheo cha CDF. Huyu huwa pia ni mkuu wa nidhamu kwenye kikosi, na anaheshimika sana na maoifsia wa Jeshi hata wenye nyota amboa kicheo wako juu yake

Wale wenye kuanzia na nyota moja mabegani

SECOND LIUETENANT- nyota moja begani
LIUETENANT- nyota mbili begani
CAPTAIN-nyota tatu begani
MAJOR- Ngao begani; bibi na bwana
LIUTENANT COLONEL (LUTENI KANALI). Ngao na nyota moja begani
KANALI- Ngao na nyota mbili begani
BRIGADEER GENREAL- Mkasi na nyota moja begani
MAJOR GENERAL-Mkasi na nyota mbili begani
LIUTENANT GENERAL-Mkasi na nyota tatu begani
Huyu naye huwa anakuwa ni mmoja tu kwa Tanzania nzima, na anatteuliwa na Rais

CDF-Mkasi na nyota nne begani!!!!!!!

Naishia hapa ila kama kuna mwingine mwenye kuendelea zaidi ya hapa, basi naomba anisaideie kwa cheo cha FIELD MARSHALL
Asante mkuu hakika umenipa mwanga.
 
Yale yalikuwa mapinduzi feki yaliyotengenezwa na Nyerere ili ajimwambafai kwamba hawamuwezi.
Ulikuwa na Umri gani wakati ule... watu waliuawa, wengine wakakamatwa na kushitakiwa na wengine wakawa wakimbizi wewe unasema ni mapinduzi feki!!??
 
Ulikuwa na Umri gani wakati ule... watu waliuawa, wengine wakakamatwa na kushitakiwa na wengine wakawa wakimbizi wewe unasema ni mapinduzi feki!!??
Watu wakifa sio hoja.

Hata matukio feki yana gharama pia.

Kama tukio feki la babu wa loliondo, watu wengi sana walikufa kwa kuacha dawa.

Lakini litaendelea kubaki kuwa TUKIO FEKI.
 
Watu wakifa sio hoja.

Hata matukio feki yana gharama pia.

Kama tukio feki la babu wa loliondo, watu wengi sana walikufa kwa kuacha dawa.

Lakini litaendelea kubaki kuwa TUKIO FEKI.
Umeshawahi kukaa na waliohusika na kujadiliana nao uone kama lilikuwa ni tukio feki??
 
Back
Top Bottom