Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Basi sisi wananchi tumfute kazi rais Samia kwasabb watu wanalalamikia sana mkatataba wa DPW lkn rais Samia hasemi kitu. Yupo kimya na ameahidi kuendelea kunyamaza.

Aidha mhe rais ana muhali au kuna rushwa kubwa imetembezwa na DPW
 
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
Huyu Hanaf Msabaha ni mtoto wa Msabaha Bangusilo aliyekuwa Waziri wa Nishati enzi za sakata la Richmond?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara vijijini, Hanafi Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).

Samia ameyasema hayo leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, mkoani Pwani.

"Mnapopuuza kero zao sijui mtaenda kujibu nini kwa Mungu…..Mkuu wa Wilaya anahongwa, mradi unapelekwa usikotakiwa kiasi kwamba wananchi wanarudisha kadi za chama, Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.
Tuma ndefu, imeishia katikati, "...na wamejenga..."
 
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
Habari nzuri sana hii. Turudishe kadi.kwa wingi..watimuliwe wengi
 
Mbona yeye hasikilizi kero za watanzania walio wengi juu ya Mkataba wa Bandari?
CHADEMA mtaangaika sana ila nakusaidia tu Rais Samia alishinda Kwa 85% uchaguzi mkuu uliopita na CHADEMA ilipata 13% , Sasa tangu lini 13% ikawa nyingi Kwa 85%?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara vijijini, Hanafi Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).

Samia ameyasema hayo leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, mkoani Pwani.

"Mnapopuuza kero zao sijui mtaenda kujibu nini kwa Mungu…..Mkuu wa Wilaya anahongwa, mradi unapelekwa usikotakiwa kiasi kwamba wananchi wanarudisha kadi za chama, Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.



View: https://www.instagram.com/p/CwcbU1FN79K/

Kwa hiyo hapo tatizo ni kadi za kijani kurudishwa au wananchi kutosikilizwa? Huyu rais vipi ?
 
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
Ndo maana inabidi wakuu wa mikoa na wilaya wapigiwe kura.
 
Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama
Sababu ya DC kufukuzwa ndio hizo hapo kwenye 'bold'....hayo ya kadi kurudishwa ni nyongeza tu.
 
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
Na bado tutazirudisha tena hapa tumezinduliwa toka usingizini. Wajiandae zaidi
 
Sababu ya DC kufukuzwa ndio hizo hapo kwenye 'bold'....hayo ya kadi kurudishwa ni nyongeza tu.
Dogo huwa ana ufala mwingi sana huyu. Halafu kuanzia Uvinza hadi Mtwara huwa anajiona yupo juu hata ya wakuu wa Mikoa akijifanya yeye ni wa kutoka Kitengo.
Screenshot_20230827-135020_Google.jpg
Screenshot_20230827-134708_Google.jpg
Screenshot_20230827-134634_Google.jpg
Screenshot_20230827-134605_Google.jpg
 
Kama Uongozi ndio huu naye Mwenye mamkaka na Ulimwengu huu amfute Kazi ...vilio cha vitu kupanda bei, ufinyu wa ajira, mishahara kiduchu kwenye sector binafsi na bado hili la bandari na yeye anaendekeza ukada tu badala ya kutatua kero za wananchi.
 
Back
Top Bottom