Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Rais Samia Suluhu Hassan amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara vijijini, Hanafi Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).

Samia ameyasema hayo leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, mkoani Pwani.

"Mnapopuuza kero zao sijui mtaenda kujibu nini kwa Mungu…..Mkuu wa Wilaya anahongwa, mradi unapelekwa usikotakiwa kiasi kwamba wananchi wanarudisha kadi za chama, Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.



View: https://www.instagram.com/p/CwcbU1FN79K/

bado atatumbua wengi, maana mambo ni mengi sana ya kuchanganya
 
Samahani, naomba kukuuliza swali! Je ni lini Samia Suluhu Hassan akagombea urais wa Tanzania?
Tafuta maana ya mgombea mwenza Kwa kiingereza Running mate ndo utaelewa kwa upana Zaidi 2015 na 2020 aligombea au hakugombea?

2015 na 2020 aligombea na tukampigia Kura
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
matokeo ya waraka wa TEC yameanza kujitokeza, na bado watu hawarudishi kadi eti kisa DC, sababu kubwa ni wewe mkuu, hujaona tu. Unamwonea DC wa watu bure, mwecha ale urefu wa kamba yake kama unavyoinyelea bandari
 
tatizo ni usimamizi ameona ya mtwara mikoa mingine ni hvohvo
 
Wakati mkilaumu dini zisichanganywe na siasa,

Kiongozi wetu, anachanganya Urais na uchama!!

Kuna kosa Gani wananchi kuikataa CCM, ndo democracy yenyewe!!
Haujaelewa wewe, DC na DED wamepeleka mradi kwenye eneo ambalo halikupangwa kisa tu eneo lililopangwa lina Wapinzani wengi kuliko CCM, sikiliza uelewe
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Akili sifuri lile Libibi la Cuba, hana kifua, hana integrity ya kuhudumu ofisi Ile matope ndio kazi wanaweza.
 
So kurudisha kadi nikwamba sinampango wa kuchukua.

Haiwezekani kundi la wahuni wanakudanganya eti ongezeko la mshahara wa mtumishi sh Saba. 7

Wananch wengi zaidi ya 50 million wanategemea chench za mishahara wanayopokea watumishi maviongozi ya juu yanakula posho kibao. Hivi mwl wa darasan, nurse anakula posho wapi
 
Haujaelewa wewe, DC na DED wamepeleka mradi kwenye eneo ambalo halikupangwa kisa tu eneo lililopangwa lina Wapinzani wengi kuliko CCM, sikiliza uelewe
Kosa lao nini, maana walifanya hayo kumpendeza mkt wao!!

Naamini Kuna zaidi ya hapo!!
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara vijijini, Hanafi Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).

Samia ameyasema hayo leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, mkoani Pwani.

"Mnapopuuza kero zao sijui mtaenda kujibu nini kwa Mungu…..Mkuu wa Wilaya anahongwa, mradi unapelekwa usikotakiwa kiasi kwamba wananchi wanarudisha kadi za chama, Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.



View: https://www.instagram.com/p/CwcbU1FN79K/

Hii sasa chenga sana, mbona yeye amekataa kusikiliza watanzania Bara dhidi ya malalamiko yao kwenye mkataba mbovu Wa DPw? Anamalizia hasira zake kwa vidagaa?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara vijijini, Hanafi Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).

Samia ameyasema hayo leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, mkoani Pwani.

"Mnapopuuza kero zao sijui mtaenda kujibu nini kwa Mungu…..Mkuu wa Wilaya anahongwa, mradi unapelekwa usikotakiwa kiasi kwamba wananchi wanarudisha kadi za chama, Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.



View: https://www.instagram.com/p/CwcbU1FN79K/

Wananchi wataendelea kuikataa ccm kila leo.
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Hawa ndio watu tunaowategemea watuletee maendeleo na kupunguza umaskini uchaguzi ukiisha baada ya kuwaza maendeleo wanawaza ni jinsi gani wataiba uchaguzi ujao
Africa kazi tunayo
 
Back
Top Bottom