Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
🤣🤣noo but c ndivyo wanavyotwambia tukikosoaMmh, na wewe umeishaingiza upepo mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣noo but c ndivyo wanavyotwambia tukikosoaMmh, na wewe umeishaingiza upepo mkuu!
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Wakati mkilaumu dini zisichanganywe na siasa,
Kiongozi wetu, anachanganya Urais na uchama!!
Kuna kosa Gani wananchi kuikataa CCM, ndo democracy yenyewe!!
NdiooooooMayala na hapo wakikusahau tena rudisha kadi tu ubaki na njaa yako
Viongozi wakuteuliwa hasa RC,RAS,DC,DAS,DC wapo katika kuhakikisha chama kinaendelea kuwa haiwanasema serikali ni ya CCM na watumishi wanaitetea CCM
Kuumizwa na kitu usichoweza kukibadilisha uelekeo ni kujitafutia maradhi ya moyo kama bado hunaAkili sifuri lile Libibi la Cuba, hana kifua, hana integrity ya kuhudumu ofisi Ile matope ndio kazi wanaweza.
Anokula naona keki ya taifa watampigia tuRaisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Raisi amepanic kwa mambo ya hivyo ila wizi ukitokea hatusikii kelele[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2730356
Hivi mkuu wa mkoa/ wilaya ni watumishi wa chama au ni watumishi wa serikali?Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337