Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mtumbuaji hamnazo na aliyetumbuliwa hamnazo..
Mkuu wa wilaya atatatua kero kwa pesa za mshahara wake?
Pelekeni pesa.
Hapo sababu haswa ni kurudishwa kadi ya CCM si jambo jingine
Mkuu wa wilaya atatatua kero kwa pesa za mshahara wake?
Pelekeni pesa.
Hapo sababu haswa ni kurudishwa kadi ya CCM si jambo jingine