Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Umewaza kama mimi. Au hajui kama kuna wanachama wameacha kushiriki mambo ya kichama kwasababu yake?

Tangu aliposababisha spika kujiuzulu, tangu aliporudisha watendaji wabovu kwenye wizara (akina mwigulu, makamba na nnauye), tangu aliposaini makubaliano/mikataba yenye utata; kuna watu hawana imani kabisa.
Na huo ndio ukweli jamani wala sio chuki kama chawa wake wanavyotafsiri!
Kuleta stability na chance ya maendeleo ya kweli jwanza kijani wapumzishwe na muda ni sasa Watanzania tusipotumia hii nafasi muda huu, itachukua tena muda sana
 
Msioifahamu CCM sikilizeni kwa kituo hii clip.

Shida ni hiki chama.
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
 
Akili za kike bwana yani huyu ni mjinga sana kilicho muuma ni kurudisha kadi hayo mengine ni nyongeza, hajui yeye ndio chanzo sababu ya bandari.
 
Kwa hii shida aliyowasababishia wastaafu inatakiwa yeye mwenyewe ajistaafishe. Hivi kweli mtu anafanya kazi miaka zaidi ya 30 anapewa kiinua mgongo 18m!!
 
Dalili za ushindi kwa wananchi wa Mtwara kupitia kauli mbiu ya chama pendwa - Nguvu ya Umma People's Power

1693144175076.png
 
Eti alikuwa hakai ofisini kufanya kazi.

Kama ni kweli tumemaelewa Rais.
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Umewaonea! Watu wanafuata sera........................bandari!
 
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
DPW inamchanganya maskini ya Mungu
 
Mtwara ni moja ya ngome za CCM imekuwaje tena?AU ni issue ya Bandari Yao,wananchi wamekasirika🤔
 
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.

My Take: Tuendelee kupambana!

=========

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumuondoa kazini Hanafi Hassan Msabaha wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha

Akieleza sababu zilizopelekea uamuzi huo Rais Samia amesema Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akipokea hongo na kuhamisha Miradi inapotakiwa kwenda na kuipelekea sehemu isiyohitajika, kitendo kilichofanya Wananchi kukerwa na kurudisha Kadi za Chama

Amesema hawezi kustahimili kuona Kadi za Chama zinarudishwa wakati Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wapo na walipoulizwa, Wakuu hao walijibu kuwa eneo hilo lina Wapinzani wengi

View attachment 2730252
wizi ah! kuiba sawa......
 
Karibu tunatarajia kufika nchi ya ahadi
Watahama wengi tuuuu
Hujashangazwa. bado
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Sina Imani na mkuu wa Wilaya anayesababisha kadi zirudishwe, Mkuu wa Wilaya Mtwara vijijini, namtimua Leo, siwezi kustahimili kadi zinarudishwa,”amesema Rais Samia.
Kuna kadi zingine hivi karibuni zitarudishwa Kilosa ambako kuna matajiri wamedhurumu ardhi ya wanakijiji kwa kumhonga DC na DED
 
Back
Top Bottom