Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Heh..!!

Wamechanganyikiwa walah!
 
anawaza uchaguzi baddla ya kufanya kazi, kwa hiyo mkuu wa wilaya afanye kazi za ukada dah ajuza kaishiwa point
 
Ameongea kama Rais au Mwenyekiti?
 

Kuna namna wateuliwa hawapendi kazi za kisiasa au wanalazinishwa kufanya kazi wasizozipenda.
 
matokeo ya waraka wa TEC yameanza kujitokeza, na bado watu hawarudishi kadi eti kisa DC, sababu kubwa ni wewe mkuu, hujaona tu. Unamwonea DC wa watu bure, mwecha ale urefu wa kamba yake kama unavyoinyelea bandari
DC ni matunda ya hayati JPM ya kunyanyapaa wapinzani, alidhani anamfurahisha mkuu wake wa kazi kumbe ameharibu.
 
Hii Kali! Unadhani kadi zinarudi kwasababu ya DC ? Wananchi Hawana Imani na Rais. Rais ukivuruga Hawa akina DC hawana cha kufanya. Hii ni rasharasha, masika ni mwakani na 2025 zitarudi nyingi mno
 
Samia ndie tatizo kuu nchi hii kwa sasa, hilo ndilo ninalofahamu.
 
Kwani haiwezekani kuwa hiyo ya hongo kuwa imewekwa ili kujustify kuondolewa kwake!!?
Mkuu yupi wa Wilaya hapokei hongo na rushwa!!??
DED yupi hapokei hongo na rushwa!!?
Kwa nini iwe wawili tu na si 10 au 100!!??
Sababu ya DC kufukuzwa ndio hizo hapo kwenye 'bold'....hayo ya kadi kurudishwa ni nyongeza tu.
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Ma DC wegi ni kitengo
Kitengo wa kuji expose, Kitengo bila nidhamu ni sawa na wa Buza tu.
Sasa kajitu kapo kwenye balehe kanaenda kumletea habari za ukitengo Kanali ambaye kwanza amekua commissioned na rais, pili ni mteule wa rais juu yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…