johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😂[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂[emoji38][emoji38][emoji38]
NdiooooooWow! Sukuma gang jingine limetupwa jalalani
Siyo kweli kabisa!Hivi mtu akitolewa kwwnye u Katibu Mkuu akafanywa Kamishna ni kupandishwa cheo? Na kutoka u Kamishna kuwa RAS ni kushushwa cheo? Ninavyojua cheo cha RAS ni sawa na KM kama vile RC alivyokuwa sawa na Waziri....
Uzuri RAS ni cheo cha kiutumishi, asipompangia kazi ataendelea kula mshahara wa bureNgusa Dismas Samike awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli aliwahi kuwa Mnikulu Ofisi ya Rais, Ikulu...
Kuna Uzi humu unadai Kusaya alikanyaga waya za watuYaani kabla mtu hajajifunza A na B anatimuliwa anawekwa mwingine
Ndio maana nchi inashindwa kuwa na muelekeo
Halafu tunauliza kwanini umeme unakatika ooh mbona hela zimeibiwa
Wataachaje kuiba wakati mnawabadilisha badilisha tu
Hujui kitu nyamaza! RC ana mkoa, Waziri kikatiba ana nini?Siyo kweli kabisa!
Waziri ni senior kwa RC. Waziri anamuagiza RC kufanya kazi fulani lakini RC hawezi kuthubutu. RC anamuomba Waziri ili aweze kufanya kazi fulani lakini Waziri hawezi kumuomba RC ili aweze kufanya kazi fulani ndani ya mkoa wake...
Kama amefanya makosa kwanini apandishwe badala ya kushushwa ili asimamiwe vizuri?Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!...
Not true. Waziri hawezi kumuagiza RC afanye kazi. RC ni mwakilishi wa Rais katika Mkoa na Waziri akiingia katika mkoa wake anatakiwa kwenda kusaini ofisini kwake.Siyo kweli kabisa!
Waziri ni senior kwa RC. Waziri anamuagiza RC kufanya kazi fulani lakini RC hawezi kuthubutu. RC anamuomba Waziri ili aweze kufanya kazi fulani lakini Waziri hawezi kumuomba RC ili aweze kufanya kazi fulani ndani ya mkoa wake...
Ooh kumbeKuna Uzi humu unadai Kusaya alikanyaga waya za watu
Utanyang'anywa huo usniperOoh kumbe
Na ukiangalia watu wanaangalia maslahi yao tu
Ila hawajui wao ni udongo tu hata wawe na utajiri gani maana nguvu hawana bali kifo kinawasubiri
Nachukia sana watu wenye tamaa ya mali
Atapelekwaje ubalozini kama mteuaji anaona hana hizo sifa?Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!...
Wizara.Hujui kitu nyamaza! RC ana mkoa, Waziri kikatiba ana nini?
Siku moja kabla ya kumbukumbu ya kifo cha Magufuli anamtumbua Samike katibu wake
Hawa ndiyo wanufaiia wa ukwapuaji wa mabilioni ya plea bargain.Rais Samia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa Lindi ndugu NGUSA SAMIKE.
Naona mama anatupa jongoo na mti wake kabisa.
![]()
View attachment 2553802View attachment 2553802