Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Vipi Maisha ya Wazazi sasa yatabadilika
Pambana Mtoto Wa Kiume Hakuna Nchi Serekali Inagawa pesa, Kwani hao wenye pesa mtaan kwako wanafanya kazi wizara gani? Usitumie Uvivu Wako Kuwa Ndiyo Sababu Ya Kulaumu Serikali Mzee.
 
Mbona slaa anavuliwa kila kitu?
1. Walimvua upadri
2. Wakamvua ukatibu mkuu chadema
3. Wakamvua ubunge
4. Wakamvua Josephine kule Canada
5.Leo wamemvua ubalozi
6. Kitu gani kimebaki tumvue?
Swala hapa hoja za bandari zikijibiwa basi wala huo ubalozi hautowauma!
 
Unajua Passport za Kidiplomasia wanapewa watu gani? Nazani kwa akili zako fupi unazania wanapewa Mabalozi pekee, rudi kasome,
Hakuna sehemu niliyosema kuwa mabalozi pekee ndo wana diplomat passport.

Hao wabunge hawana power kubwa kihivyo ndo maana hata makonda aliwaambia baadhi wasije dar bila ruhusa lakini huwez mskia yoyote anaugusa ubalozi wa nchi fulani zaid ya rais tu.

Na kwa kukumbusha ni kwamba kuwa mbunge unaweza maliza tu form 4 ukagombea na ukawa mbunge lakini kamwe hakiwezi tokea kwa balozi coz wanakuwa only expert katika fani fulani ikibidi tena toka vitengo vizito ndan ya serikal

Huenda mie nikawa darasa la saba hebu wewe mwenzangu uliyesoma nisaidie kunijibu swali lang nisilolijua

Je hadhi ya mbunge na balozi ziko sawa kimataifa?
 
Anamudu kuongea lugha 8 za kimataifa?! Basi huyo ni nguli wa lugha. Ukiongeza ki-mbulu/kibarbaig, atakuwa anaongea lugha 9!
 
Hili nalo litapita!



Nchi ni yetu sote!
Huu ndio uongo siutakagi huu. Kuendelea kujifariji nchi ni yetu sote,huku wanaoitafuna kwa raha ni wachache. Sema wewe ni mlinzi wao tu. Ksbb sisi ndio tunaofanya waendelee kutamba
 
Lilikua suala la muda tu, c kwa spana zile kuhusu DP world!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…